Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣Umeanza wehu...Dear njoo nikwambie ila unyate muhindi asije akasikia si unajua nalinda get la watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Umeanza wehu...Dear njoo nikwambie ila unyate muhindi asije akasikia si unajua nalinda get la watu
Afadhali.🤣🤣🤣🤣.Hapana😃😃...
Ni dharau mtu akikufanyia hivyo kakupuuzia kabisaHaha inaudhi sana nahisi kama ni dharau, huwezi soma sms ukakausha bana
Hahahha😂😂😂😂, eti angeweka uzi😅🙌Afadhali.🤣🤣🤣🤣.
Maana angekuwekea uzi humu, watu wanateseka.
😂😂 alafu uende ukanunue nn huko uendako?Nakufa huku nahesabu pesa 🤣🤣🤣
😊 sema mama wataka iweje Mrs naniMrs ? 😀
Huoni nyuzi humu wanaume wanaandikaga wanavoumizwa .Hahahha😂😂😂😂, eti angeweka uzi😅🙌
Moyo nao mS*ng* kidogo basi anaekujibu chap ndo nawe huna muda nae😅Nenda kwa mwingine au ndio daktari yeye nchi nzima?
Haha inaudhi sana nahisi kama ni dharau, huwezi soma sms
Sasa nimekaa nimenuna weee nikaona ngoja niitafute burudani huku maana mafile ni mengi kama shule msingi sijui nitamaliza saa ngapi😥😥😥🤣🤣🤣Umeanza wehu...
Vipi?Duuuh
We jamaa unatonesha vidonda vya watu wana miaka buku hizo huduma hawapati.Mtu mnaependana huwa inakuja automatically tu mnatafutana bila kujua nan kamuanza mwenzie au laah,unakuta hata km umelala unaamka unakuta sms km zote"mama ukiamka nicheck nna ubuyu"yaan chap ukiamka ni kumuendea hewan mcheke mpaka bas,ukiwa na mtu mnapendana hiv hata ukila kidogo tu lazima unenepe,moyo unakua na aman na furaha
Hapana mama mchungaji mie najifunza tu hapaVipi?
Jifunze kuwa mgumu mkuu vinginevyo utasubiri sana upendo wa mtu na unaweza usiupate.Moyo nao mS*ng* kidogo basi anaekujibu chap ndo nawe huna muda nae😅
Let skip it🏃akili za usingizi hiziThat's not my fantasy, please spare ur comment....usivuke mipaka
Vipi?Ngoja kwanza
Nikimpendaga mtu nakua mwaminifu sana kwake, wala hua sina haja na backup sema tu ndo hivyo sijawahi kumpata kwa kuendana na mimi nilivyoHuoni nyuzi humu wanaume wanaandikaga wanavoumizwa .
Wakati uko na huyo jamaa, hukuwa na backup labda.
Hii kweli hii, Ukiona kitu huwezi pata jifanye hukitaki siyo.Jifunze kuwa mgumu mkuu vinginevyo utasubiri sana upendo wa mtu na unaweza usiupate.
Wewe itakuwa hata pale IPP Mwenge tulikuwa wote tukishindana kupata zawadi za mama “Cowbell” our milk 🤣🤣🤣😂😂 hakuna ulichotaja sijakiangalia utotoni
Ili uenjoy dunia ya leo kua kijana wa hovyo utapata wengi wa kufanana nao.Nikimpendaga mtu nakua mwaminifu sana kwake, wala hua sina haja na backup sema tu ndo hivyo sijawahi kumpata kwa kuendana na mimi nilivyo