Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Nikimpendaga mtu nakua mwaminifu sana kwake, wala hua sina haja na backup sema tu ndo hivyo sijawahi kumpata kwa kuendana na mimi nilivyo
Utampata. We tulia tu usiwe na wenge.

Mungu analetaga tu. Kuwa na subira. Sema sasa utakayempata aisee jitahidi basi au kama ukishindwa, mwambie mapema uko hivyo Ili akubaliane kubeba huo msalaba. Kiufupi asiwe na wivu. Na kama yuko jukwaani itakuwa good zaidi maana kuna experiences nyingi humu.
 
Shetani mtu mzito hashindwi kuwa na bar yake kule kuzimu, unafikiri na ule moto bila kunipooza na gambe utatoboa na ushaambiwa moto wa milele!!! 🤣🤣🤣
😂 kama nakuona utakavyomnunulia na bwana shetani 😂
 
Hapo kwenye muda wake bado umemlamba kisogo😅
Kweli bro Leejay49 asiwe mhuni tu, inawezekana bado ni mdogo , kwasasa afanye kazi kwa bidii mambo yaende. Mapenzi hayahjtaji haraka, ukiharakisha lazima upigwe na tukio.

Alafu Bora males wawe play boys maana wanakuwa wanatafuta, mwanamke akiwa playgirl inakuwa mbaya sana. Kwanza wanaume wakitonyana kuhusu yeye, hatopata mchumba.
 
Bangi sijawai itumia kwahiyo siwezi relate😅
Kajaribu mkuu ulete mrejesho.

Note: Mapenz ni moja ya sababu iliofanya watu wengi wako Jela leo, Kwa kuua,kudhuru,ubakaji,dhuruma na hata wizi.
Achaneni na Mapenzi hasa yale ya dhati ni mabaya sana.
 
Back
Top Bottom