Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Tupe maoni, ujue sasahivi hapa tuna-enjoy tu.Wachangiaji mnajibu kama mna miaka 16 na mpo katika first love...
Haha inaudhi sana nahisi kama ni dharau, huwezi soma sms ukakausha banaBlue tick Watu isikieni tu, ile ya mwana tu una mind je ya Mpenzi sasa😭
Na makusudi maana kama mwanzo aliweza kwanini mbeleni ashindwe?Hata Mimi naona hivyo.
Nakufa huku nahesabu pesa 🤣🤣🤣We utakufa kizuri 😂
Ukifa utakuwa unahema
Kumbe mmeachana?Huko si kurudi nyuma sasa🤒,,tufanye tu yeye tulishindwana ila nitakayempata tena nitamfanyia haya yote...ila naomba Mungu nimpate wa kuendana na mimi nilivyo😊🤗
Mrs ? 😀Ahsante kwa kushukuru Mrs
nobody cares! Na kuonesha hukuna anayejali siku tunafanya ile fantasy yako ya cockholding mbele yake😎Who cares Sasa?
DuuuhLove ni two way traffic!ukiona mmoja ndio unapambania sana penzi kuliko mwenzio piga chini.sio wako
Tatizo hapo unakuta Daktari ndo kakuumiza🤣😂😂😂 maumivu yakizidi muone daktari
Yeah, nilimwomba tuachane na alikubali ndyo 😃😃Kumbe mmeachana?
😂😂 hakuna ulichotaja sijakiangalia utotoniHamna hizo movie nilikuwa nacheck kitambo sana enzi za utoto hunitoi, na cartoon za Tom & Jerry CTN na ile ya Scooby-Doo ilikuwa inaonyeshwa ITV kipindi cha watoto wetu 😂
Za mabasi ya mkoani anatamba Mkojani
Aisee. Mwamba yuko humu ama?Yeah, nilimwomba tuachane na alikubali ndyo 😃😃
Nenda kwa mwingine au ndio daktari yeye nchi nzima?Tatizo hapo unakuta Daktari ndo kakuumiza🤣
Hapana😃😃...Aisee. Mwamba yuko humu ama?
Nakazia 😂Huu uzi una mabawa unapepea balaa inaonekana Raia wengi wanaishi kwa Kuforce Mambo
Dear njoo nikwambie ila unyate muhindi asije akasikia si unajua nalinda get la watuWho cares Sasa?
Ile pale ni kama Kifungo huru😅Haha inaudhi sana nahisi kama ni dharau, huwezi soma sms ukakausha bana
That's not my fantasy, please spare ur comment....usivuke mipakanobody cares! Na kuonesha hukuna anayejali siku tunafanya ile fantasy yako ya cockholding mbele yake😎