Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Mtu mnaependana huwa inakuja automatically tu mnatafutana bila kujua nan kamuanza mwenzie au laah,unakuta hata km umelala unaamka unakuta sms km zote"mama ukiamka nicheck nna ubuyu"yaan chap ukiamka ni kumuendea hewan mcheke mpaka bas,ukiwa na mtu mnapendana hiv hata ukila kidogo tu lazima unenepe,moyo unakua na aman na furaha
 
Back
Top Bottom