RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
🤣Ila upunguze Chai🤨
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Ila upunguze Chai🤨
Komaaa 😂😂🤣🤣🤣🤣 na Anaconda naye auliwe na wawindaji afu wamchome moto mpk awe majivu, na majivu yake ije mvua inyeshe yote yavurugike yaondoke na maji.
Na hayo maji watu wayatemee mate kifupi asipumzike 😂😂😂
Kwakweli ngoja nijitahidi nimfanyie hivyo...ila sasa tatizo nilimwomba tuachane na alikubali🤔🤔... so nimwambie turudiane au😂😂🤥🤣🤣 wiki hii kula tizi mtu wangu wa nguvu.
Unajua iko hivi mwanamume anaweza akawa kakuelewa af anajifanya kama hakushobokei ila kila wakati anaangalia simu yake kama umemtext au kumcall. Sasa wewe anza kumtext Miss u, Mambo my utaona atakavyoreply positively
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai nakwambia
HII kitu ipo sana.🤣🤣 wiki hii kula tizi mtu wangu wa nguvu.
Unajua iko hivi mwanamume anaweza akawa kakuelewa af anajifanya kama hakushobokei ila kila wakati anaangalia simu yake kama umemtext au kumcall. Sasa wewe anza kumtext Miss u, Mambo my utaona atakavyoreply positively
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai nakwambia
kua single sio ugonjwa😃😃😃...halafu usingle wa mwanamke na mwanaume ni tofauti ujue😂Pole sana aisee. Karibu kwenye usingle.
Nilicheka walivyokimbizwa na simba afu akajificha chini ya gari, dereva akawasha gari akajikuta kabaki pale pale 😂😂😂😂😂😂nmecheka kwanguvu 😂
Mzee wa chupa?
Alikufanyia kosa lolote?Kwakweli ngoja nijitahidi nimfanyie hivyo...ila sasa tatizo nilimwomba tuachane na alikubali🤔🤔... so nimwambie turudiane au😂😂🤥
hapendi kukusumbua au hakupendi🏃Asante...hapendi kunisumbuasumbua kama Leejay49
Usingle wa mwanamke upoje?kua single sio ugonjwa😃😃😃...halafu usingle wa mwanamke na mwanaume ni tofauti ujue😂
Ni raha sana hasa kama unampenda yani ni raha isiyoelezeka kwa manenoHII kitu ipo sana.
Wanaume sometimes tunafake , sio kwamba hatuangalii, kuna muda unasema ngoja nionyeshe umwamba.
Kwanza mpenzi wako akiwa anacooperate inaleta furaha sana.
Nashukuru kwa maua nimeyapokea🥰, fedha bila upendo mmh utakua unajilazimisha sana kwenye hayo mahusiano. Ila pia pesa ni muhimu so tuendelee kupambana kutafutaMaua yako haya hapa 🌹🌷
Una jina la kifedha lakini hujagusia mambo ya fedha
Utakufa kifo kibaya sana 🤣🤣Komaaa 😂😂
Kabisa tatizo wanawake wengi hawajui tu .Ni raha sana hasa kama unampenda yani ni raha isiyoelezeka kwa maneno
Hakunifanyia kosa lolote mtoto wa watu...ila sasa lawama za kila mda zile kwamba simtafuti, mara simpendi mara nini nini ndo alikua ananichosha na ukizingatia ni distance relationship sijui alikua anawaza anacheatiwa😃😃🤔Alikufanyia kosa lolote?
Kama hakuna kosa , mrudiane tu.
Tusumbueni jamaniJamani😂😂😂🙌🙌
Tulia wewe🤒🤒Usingle wa mwanamke upoje?
😂😂 we kweli unapenda muvi za kwenye mabasi ya mikoani 😂😂Nilicheka walivyokimbizwa na simba afu akajificha chini ya gari, dereva akawasha gari akajikuta kabaki pale pale 😂😂😂