Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mr bean simpendi hanichekeshi km Jack Chan, labda Nixau yule wa The God’s must be crazy 🤣🤣🤣🤣😂😂 sasa ukiangalia mr bean si ndio utakufa kwa kucheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr bean simpendi hanichekeshi km Jack Chan, labda Nixau yule wa The God’s must be crazy 🤣🤣🤣🤣😂😂 sasa ukiangalia mr bean si ndio utakufa kwa kucheka
Ndio unaringa ringa hueleweki tunakupiga
Ila watu ndo hawataki hivyo, wanasema huwapendi na lawama kila mda eti 😃🤔Hivyo ndio vizuri sio kila saa simu
Nikutakie kila la kheri kwenye hitaji la moyo wako😊😊That's it 👊👊... I hope that too, nitampata wa kufanana na kuendana na mimi🤗🤗🤗
Amen😊🙏🙏Nikutakie kila la kheri kwenye hitaji la moyo wako😊😊
Kuna kusahau… mtu anaweza kufungua sms akasahau kujibu 🤣 ama kurespond missed call.unampigia mtu na text juu alafu kimya na yupo anakaa kimya hata 3 days akiwa na shida zake ndio anakutafuta, hiyo ni dharau.
Yani ukiona nakomaa kukutafuta na unanipa less response basi ujue nimekuelewa mno na nikiona hali haichange nabadilika.
Siringi sasa naringa nanini?Ndio unaringa ringa hueleweki tunakupiga
Kwa hili swala Sister umetupiga panene📌Hahahha😂😂😂😂... humu niko free sana yani sijui kwanini 🙌🙌
Kwanini mkuu😃😃Kwa hili swala Sister umetupiga panene📌
Mpige halafu umtupe kwa anaconda amlee hadi mifupaHanijui huyu km NIKITA wa jf 🤣🤣🤣
Baadhi ya wanaume wako hivyo hawataki waonekane kama wanamshobokea sana manzi.shida nikipataga mpenzi ndo anakuaga hanielewi hadi mtu unamwonea huruma mda wote analalamika simtafuti, naamuaga kumwomba tuachane
Yani wewe ni kusahau tu kila siku 😂😂Kuna kusahau… mtu anaweza kufungua sms akasahau kujibu 🤣 ama kurespond missed call.
Ingawa hawakosekani wanaofanya kusudi esp pale ambapo hakufeel.
Ni kero sanaMake kwanza hapa nicheke 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣.......wewe ni mimi kabisa 😅
Mimi nikiona msg tu tayari mnara unaanza kusoma 5g ndio shida yangu ilipo hapo 😄Ila watu ndo hawataki hivyo, wanasema huwapendi na lawama kila mda eti 😃🤔
Ndio inatokea 🤣🤣Yani wewe ni kusahau tu kila siku 😂😂
Ila ukiwa na shida zako unakumbuka
Umenifanya nitamani kumuangalia niumize mbavu 🤣🤣🤣Ntakupiga pigo moja hilo matata mpaka ukamuite jack chan😂
Utaona nikita anakuja na fekeo Lamomy anakufeka hadi raha mabaki yako tunampa anacondaSiringi sasa naringa nanini?
Sawa,, ngoja nijitahidi kuanzia wiki ijayo... wiki hii nifanye kwanza mazoezi kwa marafiki marafiki au we unaonaje😃😃Baadhi ya wanaume wako hivyo hawataki waonekane kama wanamshobokea sana manzi
Sema nini kama amekuelewa na umemuelewa jitahidi uwe unamtafuta. Mapenzi ya wawili
Mkuu wewe ni mimi 😂Mimi nikiona msg tu tayari mnara unaanza kusoma 5g ndio shida yangu ilipo hapo 😄
We unipendi kumbe 😂Utaona nikita anakuja na fekeo Lamomy anakufeka hadi raha mabaki yako tunampa anaconda