Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Ofcourse nikiwa Jf nakua huru sana, lakini when comes to watu wanaonifahamu ni changamoto..Namshukuru Mungu marafiki zangu wa mda mrefu na ndugu zangu wananielewa,, shida ipo nikikutana na new friends especially mpenzi inakua kazi sana kunielewa sijui natakiwa kufanya nini yani😓😓
Btn the lines unapenda sana watu ambao sio serious sana especially mpenzi awe mcheshi masiala ya hapa na pale inshort asiyetabirika interesting hachoshi...ili uwe huru kujiaachia...usijihisi kama anakubana hivi
bad enough haujakutana na wa hivyo.

anyway..amna namna ya wewe kufanya chochote ili ubadilike ila unahitaji mtu atakayekuelewa wewe na kukuchukua hivyo ulivyo
 
Walau umesema neno.....ila inategemea na perceptions za kila mtu sasa😅😅
Yan dawa ni kuwazimia read receipts.

Changamoto nayoikubali ni mzito kupiga cm kwa ndugu, mama angu ameshanisema mpaka kanichoka. Na sometimes simu inaweza kuita hapo, naiangalia naifunika pembeni 😀😀

Hunikuti namlalamikia mtu maana me mwenyewe kuna siku vikiamka nakuwa naiona cm nzito.

Tunapaswa kuelewana tu.. afu kuna wale simu za maulizo ya kikazi anakupigia muda wa kazi umeisha. Uwii inakeraaaaa
 
Btn the lines unapenda sana watu ambao sio serious sana especially mpenzi awe mcheshi masiala ya hapa na pale inshort asiyetabirika interesting hachoshi...ili uwe huru kujiaachia...usijihisi kama anakubana hivi
bad enough haujakutana na wa hivyo.

anyway..amna namna ya wewe kufanya chochote ili ubadilike ila unahitaji mtu atakayekuelewa wewe na kukuchukua hivyo ulivyo
That's it 👊👊... I hope that too, nitampata wa kufanana na kuendana na mimi🤗🤗🤗
 
Wewe ni mimi kabisa yani...unaweza ukapiga simu nikaona uvivu kuongea nakwambia niko na kazi kidogo ntakupigia badae halafu ndo inakua basi
Kumbe kuna kufanana, huwa Nina neno langu nikiona text "nah can't type now" hata call naweza Sema "enh", "ooh ok"....Ila same time naweza kuwa site zingine nakuwa active hata kuandika long replies.

Hadi out na friends narushaga kuwa nina kazi nyingi au Niko mbali 😂😂
 
Kumbe kuna kufanana, huwa Nina neno langu nikiona text "nah can't type now" hata call naweza Sema "enh", "ooh ok"....Ila same time naweza kuwa site zingine nakuwa active hata kuandika long replies.

Hadi out na friends narushaga kuwa nina kazi nyingi au Niko mbali 😂😂
Yani akitokea mtu anione nilivyo active Jf walahi anaweza kusema namfanyia makusudi kumbe ndo ikogo hivyo automatically 😅😅😅
 
Hamna bhana...unawezakuta mtu unampenda vizuri tu, ila kwenye mawasiliano ndo inakuwaga tatizo cause mimi sinaga stories, yani nikishajua umeamka salama na unaendelea vizuri siwezi kukusumbua sumbua kila mda...ila itabidi nijitahidi nibadilike maana naona huu ni uzi wangu leo😅😅😅
Hivyo ndio vizuri sio kila saa simu
 
Back
Top Bottom