mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
naelewa hiloEasy tu mbona? Sioni shida kabisa
Mie Nimehide almost kila kitu. Sipendi kulalamikiwa sijibu sms kwa wakati. Hivi watu wanadhanigi tunapaswa kukaa pale kungoja kujibu call/ sms?
ila mtu asipokujibu makusudi utajua tu, vibe likifa utajua tu