Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nalala kesho jirani 😴😴😴😴😂 kama nakuona utakavyomnunulia na bwana shetani 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalala kesho jirani 😴😴😴😴😂 kama nakuona utakavyomnunulia na bwana shetani 😂
Mjani hapana siwezi jaribu kama hadi umri huu sijawai tumia.Kajaribu mkuu ulete mrejesho.
Note: Mapenz ni moja ya sababu iliofanya watu wengi wako Jela leo, Kwa kuua,kudhuru,ubakaji,dhuruma na hata wizi.
Achaneni na Mapenzi hasa yale ya dhati ni mabaya sana.
Kama Hana hela aysee asinitafute tuInategemea nani yupo busy kwa muda huo ila kiukweli inahitajika mwanaume amuanze mwanamke
Sasa dunia ya leo ukitulia tu ukafunika kombe wanaharamu wanalifunua, Any way awe mwaminifu hata kufa.Kweli bro Leejay49 asiwe mhuni tu, inawezekana bado ni mdogo , kwasasa afanye kazi kwa bidii mambo yaende. Mapenzi hayahjtaji haraka, ukiharakisha lazima upigwe na tukio.
Alafu Bora males wawe play boys maana wanakuwa wanatafuta, mwanamke akiwa playgirl inakuwa mbaya sana. Kwanza wanaume wakitonyana kuhusu yeye, hatopata mchumba.
🤣🤣🤣 kwendraaaaaa😂😂mimi sijawahi kuwa mtoto
Usiku mwema jirani nipo jikoni hapa nakupungia hapo gorofani. Lala salama jirani unaelewa na shetaniNalala kesho jirani 😴😴😴😴
Sasa unakuta mtu Huna chakuongea[emoji28][emoji28][emoji28]Au ukiona unatuma meseji unafunguka meseji ndefu mwenzako anajibu kifupi tu
Hiyo ni red flag tosha
Ntakuchapa 😂😂😂Usiku mwema jirani nipo jikoni hapa nakupungia hapo gorofani. Lala salama jirani unaelewa na shetani
PerfectAmini kwamba unatakiwa ujiongeze japo inaumiza kwa mtu unaemuelewa. Mtu akikunyima mawasiliano mazuri kakunyima almost everything.
Awe mwaminifu tu. Kikubwa kuanzia sasa mahusiano yake mapya yawe ya siri, wanawake wengi wanaibiwa na marafiki zao waume kwa kutoa kila kitu kwenye mahusiano changa, mahusiano yakikomaa miaka mitatu hivi ndo unaweza ambia marafiki .Sasa dunia ya leo ukitulia tu ukafunika kombe wanaharamu wanalifunua, Any way awe mwaminifu hata kufa.
Hahahaha Joannah bhanaSasa hiyo sio poa,unakuwa kama umelazimishwa,mi mpenzi wa namna Yako ananipa tabu sana kudeal nae....na mbona hapa JF upo active muda wote Kwa mwenzio Kwa Nini umedorora?
Kumbuka mi ndio mwenye kichapio 😅Ntakuchapa 😂😂😂
Mkutane sasa mchapiane.Kumbuka mi ndio mwenye kichapio 😅
Ndivyo ilivyo, mawasiliano yakianza kufa ujue mapenzi ndio yameisha hivyo.Perfect
Communication ndo Kila kitu
Usitupangie 😂Mkutane sasa mchapiane.
Ndo bye byeNdivyo ilivyo, mawasiliano yakianza kufa ujue mapenzi ndio yameisha hivyo.
🤣🤣🤣Kila la heri PM. Ila vaa condom.Usitupangie 😂
Kaka nna familia humu usinifarakanishe na familia yangu 😂🤣🤣🤣Kila la heri PM. Ila vaa condom.