ππ¨ Km una pesa utatafutwa mpk uchoke na pesa inachangamsha sana mapenziKazia vizuri π
Yes na hapa upendo ndio pake nikipenda huwa napenda kweli kweli maana huwa inanitokea mara chache mno kupenda.Upo sahihi kumuonyesha mpenzi wako Upendo,ila uwe na moyo thabiti muda wa kuondoka ukifika...Kuna siku atakumbuka japo Upendo wako uliomuonyesha ila ndio itakuwa too late
Jamani π₯ππππhaya mambo ya kuachwa kwenye blue tick we yaskie tu
Hata hapa nishatafutwa na wenye litabia kama lako baada ya kueleza shida yake ikatatuliwa limepotea π au niambatanishe screenshot??ππ¨ Km una pesa utatafutwa mpk uchoke na pesa inachangamsha sana mapenzi
Ni kweli si muda wote wa kuwasiliana lazima mfanye majukumu yenu mengine pia.Hamna bhana...unawezakuta mtu unampenda vizuri tu, ila kwenye mawasiliano ndo inakuwaga tatizo cause mimi sinaga stories, yani nikishajua umeamka salama na unaendelea vizuri siwezi kukusumbua sumbua kila mda...ila itabidi nijitahidi nibadilike maana naona huu ni uzi wangu leoπ π π
We mtoto unajua mpaka unakera πhaya mambo ya kuachwa kwenye blue tick we yaskie tu
The funny thing is,unaenjoy na unatumia muda wako mwingi na watu usiotujua kuliko unaemjuaπ€£π€£π€£π€£π€£Hamna bhana...unawezakuta mtu unampenda vizuri tu, ila kwenye mawasiliano ndo inakuwaga tatizo cause mimi sinaga stories, yani nikishajua umeamka salama na unaendelea vizuri siwezi kukusumbua sumbua kila mda...ila itabidi nijitahidi nibadilike maana naona huu ni uzi wangu leoπ π π
Hilo ni pigo lingine la kikatili sanahaya mambo ya kuachwa kwenye blue tick we yaskie tu
Jirani naomba na me nikutafute unitatulie shida yangu π€£π€£π€£Hata hapa nishatafutwa na wenye litabia kama lako baada ya kueleza shida yake ikatatuliwa limepotea π au niambatanishe screenshot??
Niache jirani ππ pesa zinatafutwaJirani unapendaje hovyo na pesa huna? π
Jirani mambo yako nikuachie mwenyewe π€£π€£Niache jirani ππ pesa zinatafutwa
Penda mdogo wangu Kikubwa akili,Soma mood za mtu muelewe,akikuzingua mzingueYes na hapa upendo ndio pake nikipenda huwa napenda kweli kweli maana huwa inanitokea mara chache mno kupenda.
Hahahhaππππ... humu niko free sana yani sijui kwanini ππThe funny thing is,unaenjoy na unatumia muda wako mwingi na watu usiotujua kuliko unaemjuaπ€£π€£π€£π€£π€£
Ntaipandisha πJirani naomba na me nikutafute unitatulie shida yangu π€£π€£π€£
Lete screenshot nione mabaharia wenzetu wa kike wanavyo tuwakilisha
Kupenda siachi ila kwa akili sio moyo.Penda mdogo wangu Kikubwa akili,Soma mood za mtu muelewe,akikuzingua mzingue
Duu jibu hili zito balaaMi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Naomba niache ntakupiga ujueπJirani mambo yako nikuachie mwenyewe π€£π€£
Hapo mwishoni umeenadika kwa huzunin sna hadi roho imeniunaπ₯Sipendagi tu usumbufu, nikishjua unaendelea vizuri inatosha na mimi sio mtu wa story sanaππ... by the way natakiwa nichange sasa naona maana nimepoteza watu wengi sana hadi marafiki