Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

ila kuna my best friends wachache wananielewa how I used to be, kidogo inanipa amani and they are comfortable to call me mda wote wala hawalalamiki...shida nikipataga mpenzi ndo anakuaga hanielewi hadi mtu unamwonea huruma mda wote analalamika simtafuti, naamuaga kumwomba tuachane
 
Ndio kilichonishangaza ,ye ni mmoja wa watu active sana humu au loneliness?
 
Jitahidi bwana,mbona humu unachat fresh tu
 
Ofcourse nikiwa Jf nakua huru sana, lakini when comes to watu wanaonifahamu ni changamoto..Namshukuru Mungu marafiki zangu wa mda mrefu na ndugu zangu wananielewa,, shida ipo nikikutana na new friends especially mpenzi inakua kazi sana kunielewa sijui natakiwa kufanya nini yaniπŸ˜“πŸ˜“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…