Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

unampigia mtu na text juu alafu kimya na yupo anakaa kimya hata 3 days akiwa na shida zake ndio anakutafuta, hiyo ni dharau.

Yani ukiona nakomaa kukutafuta na unanipa less response basi ujue nimekuelewa mno na nikiona hali haichange nabadilika.
Kuna kusahau… mtu anaweza kufungua sms akasahau kujibu 🀣 ama kurespond missed call.

Ingawa hawakosekani wanaofanya kusudi esp pale ambapo hakufeel.
 
Baadhi ya wanaume wako hivyo hawataki waonekane kama wanamshobokea sana manzi

Sema nini kama amekuelewa na umemuelewa jitahidi uwe unamtafuta. Mapenzi ya wawili
Sawa,, ngoja nijitahidi kuanzia wiki ijayo... wiki hii nifanye kwanza mazoezi kwa marafiki marafiki au we unaonajeπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…