Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ni kweli mkuuNi kweli.
Mtu akishaanza kuhesabu mazuri au mabaya yake au ya mwenzake ujue hapo upendo upo mashakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuuNi kweli.
Mtu akishaanza kuhesabu mazuri au mabaya yake au ya mwenzake ujue hapo upendo upo mashakani
Mi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Hauwezi kukosa cha kujibuSasa unakuta mtu Huna chakuongea[emoji28][emoji28][emoji28]
Inatakiwa kidogo mmisiane mpate hata vya kuongea 🤣Ila kukaushiwa inauma ila Ndio njia rahis mno upendo kuporomoka Mimi nidiposumbuliwa nahis sipendwi kabisa 😃😃
Umesema vyema mkuu@Mzee wa kupambania ushauri wako auchukue huyudada utamsaidia sana.asivunge kwa mpenzi wake.wanaume kamili tunahulka yakuvunga.
niuzieBei sawa na unayouza wewe tu my wangu.....hatupishani
Sawa.Starehe ya mtu wewe uteseke nayo? Huyo jirani yangu mkewe best yangu acha kutugombanisha mxiewww!! 😂😂
pale unapoona mzani unaelemea kwako zaidi, yaani usipomtafuta hata mwezi mzima hajali na hakutafuti ng'oo simply unapaswa ujiongeze kuwa huitajiki. Mtu anaekupenda lazima atakutafuta tu.
Mimi siwezi 😃😃nakaba kama anatembea na figoyangu vileInatakiwa kidogo mmisiane mpate hata vya kuongea 🤣
haya mambo ya kuachwa kwenye blue tick we yaskie tu
🤣🤣 basi wewe ndio uwe unamtafuta kila mara sasaMimi siwezi 😃😃nakaba kama anatembea na figoyangu vile
Hapana we endelea tu kuuza unakouzaga my wanguniuzie
DohHauwezi kukosa cha kujibu
Ushirikiano muhimu kwenye mawasiliano ya wapenzi
Mwenye pesa nyingi anapaswa awe mwanaume tu kinyume na apo mvurugano .Mi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Hii imesimama pande zote mfano kama WWE watokea gomz mwingine mapnga wote mkutane mwenge na ktk mahusiano ndio ivoivoKwenye mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake like everyday ile kumjulia hali na siku yake imeendaje?
ImesiAu inatakiwa iwe effort iwe inaendana kwa both sides? Au mmoja wapo ndo anatakiwa awe Ana initiate mawasiliano ili uhusiano uendelee?
Wanawake mnaongoza ktk hiloMwenye genye amuanze mwenzie
Acha uhaini wa mahusiano bhnLove ni two way traffic!ukiona mmoja ndio unapambania sana penzi kuliko mwenzio piga chini.sio wako
😃😃😃Namtafuta tu potelea mbali😄🤣🤣 basi wewe ndio uwe unamtafuta kila mara sasa