Kati ya Simba na Yanga nani ameua kwenye jezi?

Kati ya Simba na Yanga nani ameua kwenye jezi?

Uzi wa Bluee ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
E7E6733B-C605-4399-AFD6-CFB725EB5232.jpeg
 
Fundi Michael kausika, Aiwezekani jezi ipigwe rangi ya nyumba Tena Kwa mkono.
 
honestly kilichofanyika kwa yanga ni ubunifu wa nini kikae kwenye jezi.. hasa jezi ya kijani na nyeusi.. lakini kwa simba huo si ubunifu, wamefanya kupachika rangi tu... hao VS ni online designer wa football kit.. unafanya tu kupachika rangi kwenye designing... YANGA ni pure design.. so yanga wametisha
Byut byut mwende kwenye maonesho ya miss Tanzania

Wavalisheni na hereni na shanga
 
Mpiga picha wa Yanga hazingatii mwanga na bg gradients
 
Ulitegemea mtu wa Simba aisifu jezi ya Yanga na wa Yanga aisifu jezi ya Simba?
 
Yanga wametambulisha jezi za aina tatu ila wanang'ang'ania kuvaa jezi zile nyeusi kama vile zile nyingine hawajazitambulisha wao ni za gwambina yanga kweli akili kisoda kuanzia viongozi mpka mashabiki wa yanga wanavaa zile nyeusi jezi mtambulishe wenyewe halafu mzikatae.
Hizo nyeusi ni za timu gani?
 
Back
Top Bottom