Kati ya Simba na Yanga nani ameua kwenye jezi?

Fundi Michael kausika, Aiwezekani jezi ipigwe rangi ya nyumba Tena Kwa mkono.
 
Byut byut mwende kwenye maonesho ya miss Tanzania

Wavalisheni na hereni na shanga
 
Mpiga picha wa Yanga hazingatii mwanga na bg gradients
 
Ulitegemea mtu wa Simba aisifu jezi ya Yanga na wa Yanga aisifu jezi ya Simba?
 
Hizo nyeusi ni za timu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…