Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wafuasi wa Magufuli wanaituhumu serikali ya sasa kuwa ina wahuni, wakiongozwa na yule mtu wao aliyepelekwa Malawi na hashtag yake ya #KataaWahuni

Sasa nataka tuende kwa fact na records, mimi nataka waniambie ni uhuni gani umefanyika serikali ya Samia kushinda uhuni wa Serikali ya Magufuli

Kwa kuanzia tu, Kipindi cha Magufuli ndio mbunge alipigwa risasi katika viwanja vya Bunge na watu waliompiga kung'oa CCTV Camera zilizorekodi tukio

Kipindi cha Magufuli ndio watu walitekwa kwa wingi zaidi kama akina Kinguye, Ben Saanane, azory Gwanda, Mdude Chadema, Roma Mkatoliki, Mo Dewji, Abdul Nondo n.k

Kipindi cha Magufuli ndio mkuu wa mkoa huku akirekodiwa na Camera alivamia kituo cha Tv kuamrisha habari yake isomwe na wala hakuchukuliwa hatua yoyote

Kipindi cha Magufuli ndio tulisikia mkuu wa mkoa akipiga watu marufuku kuja kwenye 'mkoa wake'

Kipindi cha Magufuli ndio mtu kama Sabaya alitamba sana, na kuna matukio kibao kama ya ubakaji, uporaji, kubambikizia kesi n.k

Achilia mbali uhuni wa kuengua asilimia 90 ya wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi Serikali za mitaa kwa kigezo kuwa hawajui kusoma wala kuandika

Achilia mbali kulazimisha na kuhonga wapinzani kujiuzulu ubunge na udiwani kisha kugombea tena jimbo hilo hilo ili Magufuli aonekane anapendwa

Ndio kipindi tumedanganywa miradi mikubwa tunajenga kwa fedha za ndani

Achilia mbali kauli za kihuni za Magufuli kama 'Baki na mavi yako nyumbani', 'Mnataka mpanuliwe wapi', na kusifia wake za watu hadharani

Huu ni uhuni mdogo sana kati ya uhuni mwingi aliokuwa akifanya Magufuli

Haya sasa niambieni matukio ya kihuni kwenye serikali ya Samia tulinganishe
 
Wafuasi wa Magufuli wanaituhumu serikali ya sasa kuwa ina wahuni, wakiongozwa na yule mtu wao aliyepelekwa Malawi na hashtag yake ya #KataaWahuni

Sasa nataka tuende kwa fact na records, mimi nataka waniambie ni uhuni gani umefanyika serikali ya Samia kushinda uhuni wa Serikali ya Magufuli

Kwa kuanzia tu, Kipindi cha Magufuli ndio mbunge alipigwa risasi katika viwanja vya Bunge na watu waliompiga kung'oa CCTV Camera zilizorekodi tukio

Kipindi cha Magufuli ndio watu walitekwa kwa wingi zaidi kama akina Kinguye, Ben Saanane, azory Gwanda, Mdude Chadema, Roma Mkatoliki, Mo Dewji, Abdul Nondo n.k

Kipindi cha Magufuli ndio mkuu wa mkoa huku akirekodiwa na Camera alivamia kituo cha Tv kuamrisha habari yake isomwe na wala hakuchukuliwa hatua yoyote

Kipindi cha Magufuli ndio tulisikia mkuu wa mkoa akipiga watu marufuku kuja kwenye 'mkoa wake'

Kipindi cha Magufuli ndio mtu kama Sabaya alitamba sana, na kuna matukio kibao kama ya ubakaji, uporaji, kubambikizia kesi n.k

Achilia mbali uhuni wa kuengua asilimia 90 ya wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi Serikali za mitaa kwa kigezo kuwa hawajui kusoma wala kuandika

Achilia mbali kulazimisha na kuhonga wapinzani kujiuzulu ubunge na udiwani kisha kugombea tena jimbo hilo hilo ili Magufuli aonekane anapendwa

Ndio kipindi tumedanganywa miradi mikubwa tunajenga kwa fedha za ndani

Achilia mbali kauli za kihuni za Magufuli kama 'Baki na mavi yako nyumbani', 'Mnataka mpanuliwe wapi', na kusifia wake za watu hadharani

Huu ni uhuni mdogo sana kati ya uhuni mwingi aliokuwa akifanya Magufuli

Haya sasa niambieni matukio ya kihuni kwenye serikali ya Samia tulinganishe
 
Ubaya ni ubaya tu, na wote hautakiwi kufanyiwa mwanadamu, haijalishi uwe wa large scale au small scale.

Hii tabia yenu ya kuendelea kulinganisha ubaya wa serikali iliyopita na hii ya sasa unawadumaza wengi kiakili, hamuoni ubaya wa serikali iliyopo madarakani, na ndio maana mnajikuta mnageuka kuwa chawa bila kujitambua.

Lakini pia mnaidumaza serikali iliyopo madarakani, iendelee kujiona ni ya malaika wakati nayo imejaa mabaya yake, uvunjifu wa sheria wa wazi inayoukumbatia kwenu mnaona ni jambo la kawaida, na kwa ujinga wenu mnachangia kuiendeleza tabia hiyo.
 
Ina maana na nyie mmekua watetezi wa hiari wa utawala wa Sasa (Voluntary/self made pro-government activists) ?....
Tazama,hii nchi ya Tanzania ndiyo kwetu sote.Samia,Mbowe,Spunda na wengine wote ni Watanzania.Kukinzana kimawazo siyo kuchukiana palipo na haki ya kweli.Zingatia.
 
Wafuasi wa Magufuli wanaituhumu serikali ya sasa kuwa ina wahuni, wakiongozwa na yule mtu wao aliyepelekwa Malawi na hashtag yake ya #KataaWahuni

Sasa nataka tuende kwa fact na records, mimi nataka waniambie ni uhuni gani umefanyika serikali ya Samia kushinda uhuni wa Serikali ya Magufuli

Kwa kuanzia tu, Kipindi cha Magufuli ndio mbunge alipigwa risasi katika viwanja vya Bunge na watu waliompiga kung'oa CCTV Camera zilizorekodi tukio

Kipindi cha Magufuli ndio watu walitekwa kwa wingi zaidi kama akina Kinguye, Ben Saanane, azory Gwanda, Mdude Chadema, Roma Mkatoliki, Mo Dewji, Abdul Nondo n.k

Kipindi cha Magufuli ndio mkuu wa mkoa huku akirekodiwa na Camera alivamia kituo cha Tv kuamrisha habari yake isomwe na wala hakuchukuliwa hatua yoyote

Kipindi cha Magufuli ndio tulisikia mkuu wa mkoa akipiga watu marufuku kuja kwenye 'mkoa wake'

Kipindi cha Magufuli ndio mtu kama Sabaya alitamba sana, na kuna matukio kibao kama ya ubakaji, uporaji, kubambikizia kesi n.k

Achilia mbali uhuni wa kuengua asilimia 90 ya wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi Serikali za mitaa kwa kigezo kuwa hawajui kusoma wala kuandika

Achilia mbali kulazimisha na kuhonga wapinzani kujiuzulu ubunge na udiwani kisha kugombea tena jimbo hilo hilo ili Magufuli aonekane anapendwa

Ndio kipindi tumedanganywa miradi mikubwa tunajenga kwa fedha za ndani

Achilia mbali kauli za kihuni za Magufuli kama 'Baki na mavi yako nyumbani', 'Mnataka mpanuliwe wapi', na kusifia wake za watu hadharani

Huu ni uhuni mdogo sana kati ya uhuni mwingi aliokuwa akifanya Magufuli

Haya sasa niambieni matukio ya kihuni kwenye serikali ya Samia tulinganishe
Kwani kuna tofauti gani Kati ya serikali ya Magu na huyu unayempenda? Serikali ile ile, chama kile kile (system). kama ni uhuni wa CCM basi ulianza zamani, kuna waziri mkuu aligongwa na gari akafa na kuzikwa haraka haraka wala uchunguzi haukufanyika. Kesi ya muuaji ilichukua vikao viwili tu, mfungwa alipelekwa London, baadaye karudi South Africa. Kuna uhuni zaidi ya huu?
 
Back
Top Bottom