Kati ya Wizara ya Fedha na TRA mmoja kadanganya mahesabu kwenye ripoti ya mapato 2022/23

Asante kwa ufafanuzi.
 
Kwani pesa zote za serikali zinakusanywa na tra peke yake? Mie nadhani Kuna taasisi nyingi tu ambazo zinapeleka pesa serikali kuu bila kupitia tra ndio maana Kuna utofauti wa hizo taarifa.
 
Kwani pesa zote za serikali zinakusanywa na tra peke yake? Mie nadhani Kuna taasisi nyingi tu ambazo zinapeleka pesa serikali kuu bila kupitia tra ndio maana Kuna utofauti wa hizo taarifa.
Soma tena Uzi vizuri na pitia hizo attachment utaelewa msingi wa mada
 
Kwani pesa zote za serikali zinakusanywa na tra peke yake? Mie nadhani Kuna taasisi nyingi tu ambazo zinapeleka pesa serikali kuu bila kupitia tra ndio maana Kuna utofauti wa hizo taarifa.
Kwa maana hiyo data za wizara ndio zilipaswa kuwa kubwa, lakini hapa inaongelewa data za tra kuea kubwa kuliko za wizara. Sijui kama umenielewa?
 
Tafsiri fupi Wizara uwaga inapewa taarifa za uhongo?
 
Wanajua watanzania huwa hawajishughulishi na taarifa kwa kina,hivyo huwa wanaburuza tu,hakuna wa kugundua hilo

Huwa tunagundua sana na ndio maana tunasema mara kibao huku kuwa ni serikali ya wapika data. Tatizo letu sio kujua uongo wao, bali sisi ni makondoo hata tukijua tutawafanya nini?
 
Taarifa ya Wizara ni mpaka April
TRA ni mpaka 3 Julai. Figure zinawezaje kuwa sawa?
Hoja yako ina kasoro
 
Kwahiyo Wizara Mpaka inaandaa Tathimini ya Bajeti Ilishindwa kuweka hiyo Adjustment kwenye Data zao?
Siyo mtaalamu sn lakini ni kwamba Wizara inadeal na budget kuu lakini TRA wanadeal na kodi pekee so hata council huwa zinafanya adjustment
 
Siyo mtaalamu sn lakini ni kwamba Wizara inadeal na budget kuu lakini TRA wanadeal na kodi pekee so hata council huwa zinafanya adjustment
Target ya TRA makusanyo ya mapato kwa mwaka anapangiwa na nani?
 
Yes Wizara ya fedha ndio inampa Target TRA... Sasa kilichopo Target ya Wizara hipo chini kuliko target waliotolea Ripoti TRA ndio swali la kwanza limelenga hapo
Huwa wanapewa hata councils zinapewa lakini wanaruhusiwa kufanya adjustment mkuu
 
Hapa Mkuu umemkamata Simba kwenye kudevu

Tumepigwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…