@Pasco,kwanini hiyo sehemu ya hotuba yake aliyoitumia kuijibu usingetuwekea hapa tuamuwe wenyewe?
Wewe ume summersize na inaonekana wengine wameridhika na jibu ulilopewa.
Je unapindisha habari kwa maslahi yako binafasi?
Mkuu J. Mushi, tatizo members wengi humu sio tuu ni washabiki au wapenzi wa Chadema, bali ni ma fanatics wa Chadema wanawaona viongozi wa Chadema kama miungu watu hivyo wanajikuta wanawaabudu. Wanaamini viongozi wao hawawezi kufanya makosa!.
Amini nawaambieni hili la Chadema kushindwa kutumia kifingu cha 86 kuusimamisha muswada ule was a mistake.
Lissu ni mwanasheria makini, hilo halina ubishi, mimi si mwanasheria kwa sababu I don't practise ila nimetoa tongotongo za sheria za sheria kwa miaka minne full time pale UDSM, Mhe. Lissu hakupaswa kusoma hotuba, alipaswa kutoa pingamizi!. Baada ya pingamizi ndipo hotuba ya kambi ya upinzani ingefiatia.
Bila hotuba ya kambi ya upinzani, muswada wowote wa serikali hauwezi kusonga mbele!.
Nimemuuliza Mhe. Lissu, kwanini alisoma hotuba on the first place wakati alipaswa kuwasilisha pingamizi!.
Mhe. Lissu akanijibu kwa kusoma para ya pingamizi kwenye hotuba yake!. Jee kanuni hiyo ya 86 ndivyo ilivyoelekeza?!. Lissu alikosea pingamizi ni pingamizi tena amewekewa mpaka maneno ya kutamka na hivyo kusitisha process nzima!.
Mhe. Lissu aliposoma hotuba ya kambi ya upinzani, alimaanisha ameikubali hoja ya mtoa hoja, hivyo ku complete the process!.
Mimi ni miongoni mwa wakosoaji wakuu wa Spika Mhe. Mama Makinda tangu day 1. Niliripoti humu jinsi nilivyokutana na RA na kwa kinywa chake mwenyewe RA akanitambia na kusikia kwa masikio yangu mawili kuwa ni yeye RA aliyemuweka Spika SS tena kwa kulipia kura za Wanzanzibari baada ya wabara kumsuport Msekwa!.
RA akanihakikishia ni yeye aliyetoa SS na ni yeye aliyemuingiza Mama Makinda!. Kwenye Press Conference ya Kwanza ya Mama Makinda niliireport live humu na nilimuuliza kuhusu kuwekwa na RA, akajikanyaga kanyaga.
Nimewahi kuanzisha thread kadhaa juu ya madhaifu ya Mama Makinda lakini kwenye hili la kuzuia hoja yoyote baada ya kuwasilishwa hotuba ya kambi ya upinzani she was right!. Hivyo ndivyo kanuni inavyosema!.
Kwenye hili, naamini 100% kwa 100% Mhe. Lissu alichemsha!. Na kwa maoni yangu, JJ.Mnyika ni miongoni mwa hazina kubwa za Chadema, kama angeipitia hotuba ya Mhe. Lissu, isingekuwa vile ilivyo, tena nawaomba sana msiniprovoke nikaichambua hotuba ile, tutaishia kuvuana nguo hapa na kuachana uch..!
Lissu ni school mate wangu tangu Ilboru na ni kichwa cha ukweli, lakini kwenye hili amechemsha big time!.
Naombeni niwape angalizo all ma hopefulls kwamba there is something to be done!.
Please hear me loud and clear, baada ya rais kuusaini muswada huo kuwa sheria, there is nothing Chadema can do!. The only option ni kukubali matokeo, kama walivyojifanya hawamtambui rais Kikwete, japo ni kilaza wa tangu UDSM na GPA yake ya 2.0!, ( Facult wana uwezo wa kuongeza 2 points of grace ili ku salvage last year disco) yeye ndie rais. period.
Muswada ukishakuwa sheria inakuwa ni msumeno inakata nyuma na mbele kama upanga wa makali kuwili!. Chadema, Kibamba wala wanaharakati hakuna lolote wanaloweza kufanya!.
Msifikiri Watanzania ni kama Wamisri, Walibya au Wasyria, Watanzania ni kama kondoo!. Wanaomkumbuka mwanaharakati wa UDSM enzi zile, Bi Sikitiko Kapile alisema Watanzania tuna nidhamu ya ukondoo na hivyo ndivyo tulivyo. Kama Chadema ina bank on peoples powers!, wait for surprises, they are wrong again and again and again!.