Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Si bora itokee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua siku likitokea hilo jangaNdio nani huyo mkuu?
Na kaandikwa kwenye ibara ipi ya katiba?
Haya bhanaNimejificha huku pande za kapri point Rock city nataka "ni mtundu lissu"Mama SSH akikatiza tu.
Swali zuri sana... tusubiri wajuzi wa sheria za Tanzania watuambieKwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Mzee wa Galilaya anachukua.Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Spika atafuata. Waziri mkuu atamsaidia majukumu..Nimeuliza swali la kikatiba mkuu.
Nani alikudanganya hivi ?Designated survivor hapo ni Spika wa bunge au jaji mkuu.
Kwa sheria ipi ?Ikitokea SSH na Philip Mpango wamefarik Kwa wakati mmoja basi Job Ndugai anaapishwa kuwa rais wa JMT
Unatumia kifungu kipi cha sheria mkuu ?Waziri mkuu hayupo kwenye line of power.Kama Raisi na Makamu wote wakifa, basi anayefata in line of power ni Spika na huyo nayeye akifa anafata Spika....mpaka wamalizike viongozi wa mihimili mi3 ya serikali ndio labda hao wengine kina Wazir mkuu wafate ila kikatiba haijawekwa waziri...so kwa sasa ni Raisi >Makamu wa Raisi> Spika > Jaji Mkuu
Afu bado kuna watu wanaomba itokee. HeeeIkitokea SSH na Philip Mpango wamefarik Kwa wakati mmoja basi Job Ndugai anaapishwa kuwa rais wa JMT
Haya maelezo ukiyasapoti na kifungu cha katiba ya Tanzania, mia tisa itapendezaIkitokea SSH na Philip Mpango wamefarik Kwa wakati mmoja basi Job Ndugai anaapishwa kuwa rais wa JMT
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AU LAMEKTunamuapisha MAGALLAH R awe rais