Katiba inasemaje kama ikitokea Rais na Makamu wake wote wakifa kwa pamoja?

Katiba inasemaje kama ikitokea Rais na Makamu wake wote wakifa kwa pamoja?

Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.

Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?

Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?

Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.

Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?

Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Katiba inasema waziri mkuu
Article 37 3:b
 
Haya maelezo ukiyasapoti na kifungu cha katiba ya Tanzania, mia tisa itapendeza
) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; b
 
) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; b
Unasoma katiba ipi ?
 
Ikitokea SSH na Philip Mpango wamefarik Kwa wakati mmoja basi Job Ndugai anaapishwa kuwa rais wa JMT

..labda tungejiuliza kama Raisi hayupo, na Makamu hayupo vilevile, nani anakaimu Uraisi?

..ninavyoelewa mimi ktk mazingira hayo Waziri Mkuu ndiye anayekaimu nafasi ya Raisi.

..Sasa sijui utaratibu ukoje ikiwa viongozi hao wakuu wawili hawawezi kutimiza majukumu yao kutokana na kifo, au sababu nyingine.
 
2010? Ilete wewe mkuu. Hiyo 2000
Hebu soma vizuri hiyo ibara ya 37
Screenshot_20210908-155515_Adobe%20Acrobat.jpg
 
Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.

Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?

Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?

Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.

Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?

Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea

Kamwe haiwezi tokea[emoji3] ilo ni pepo la mauti linakusumbua
 
Unawakatisha tamaa waha ......wanasubiri lolote lile watupandie vichwani......na ubishi ndioslogan ya Taifa
 
Back
Top Bottom