Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja zako zinaonesha una msongo mkubwa wa mawazoTofautisha kati ya swali na uchuro, huo ni uchuro wala si swali.
Mbona hukujiuliza we mwenyewe kuhusu wewe na Mkeo mkifa watoto wako watalelewa na nani?
Katiba inasema waziri mkuuKwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana naHaya maelezo ukiyasapoti na kifungu cha katiba ya Tanzania, mia tisa itapendeza
Hyo iko us tuKuna mtu anaitwa designated survivor, huyo ndiye anayechukua mikoba.
Na hata tutaileta kwa mara ya kwanzaHyo iko us tu
Unasoma katiba ipi ?) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; b
Unasoma katiba
Unayoifaham wewe.Unasoma katiba ipi ?
Hebu leta Toleo la 2010 hiyo section uliyonukuuUnayoifaham wewe.
2010? Ilete wewe mkuu. Hiyo 2000Hebu leta Toleo la 2010 hiyo section uliyonukuu
Kwa Katiba ipi ?Kwa uelewa wangu mdogo Nchi itakuwa chini ya waziri mkuu
Maendeleo mbele ya tozo?Acha kuwaza kufa kufa tu sababu hata mafanikio yako yatakuwa na harufu ya kufa, nawe utakuwa mfu.
Fikiri kichanya zaidi ili upambane kupata maendeleo bora.
Mawee!Ndugai
Hiyo ibara uliyonukuu ni ibara ya ngapi ?2010? Ilete wewe mkuu. Hiyo 2000
Ikitokea SSH na Philip Mpango wamefarik Kwa wakati mmoja basi Job Ndugai anaapishwa kuwa rais wa JMT
Yaan mkuu unamaanisha huyu spika 😇😯Designated survivor hapo ni Spika wa bunge au jaji mkuu.
Hebu soma vizuri hiyo ibara ya 372010? Ilete wewe mkuu. Hiyo 2000
Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea