Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoro na Mwanza kuna umbali gani?Nasubiri kutuma mchango wa wakili Mwanza!
Elimu inatoka vizuri snCcm itawajibika kushiriki kwenye katiba mpya bila kupenda, hivyo cdm wakikaa kimya katiba mpya haitakaa ipatikane. Hadi sasa ujumbe wa katiba mpya unawafikia vizuri sana wananchi. Na ccm wako kwenye wakati mgumu maana hili ni dai halali.
Polisi walete katiba manka?!Ndiyo maana wanatumia polisi
Leteni account number/ namba ya simu!Katoro na Mwanza kuna umbali gani?
CCM yako inatumia polisiPolisi walete katiba manka?!
Leo sikukuu kisado bei gani?
Posho elfu 50 unasumbua dunia kama yoteLeteni account number/ namba ya simu!
Chadema inaelekeana na TANU kwa misingi yake ya kujali utu na thamani ya Mtanzania,vile vile kujali maslahi mapana ya jamii na si viongozi pekee ili kuendeleza kupiga kwa kisingizio cha uzalendo.Kwahiyo Chadema ni sawa na Tanu?!
Kongamano la katiba halina posho manka!Posho elfu 50 unasumbua dunia kama yote
Kuna watu nimewakuta mtaani wana mawazo. Hapa ni KATIBA tu hakuna namna.Eid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Umelipwa na CCM jana ajili ya IddiKongamano la katiba halina posho manka!
Wataelewa tu hakuna namna japo it will take a timeKuna watu nimewakuta mtaani wana mawazo. Hapa ni KATIBA tu hakuna namna.
Posho ya sikukuu yote namchangia Mwamba apate wakili!Umelipwa na CCM jana ajili ya Iddi
Yule anaweza kulisha ukoo wako wote na nizazi vyenu vijavyoPosho ya sikukuu yote namchangia Mwamba apate wakili!
Kutoa ni moyo siyo utajiri.Yule anaweza kulisha ukoo wako wote na nizazi vyenu vijavyo
Kapewa utumbo wa ngamia ndiyo anaenda kujipikilisha ghetto kwake.Leo posho imetoka?
Akili kama za mwendazakeEid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kula kulala kwa shemeji yako utapataje akili ya kuyajadili mambo yanayohitaji kutumia 75% ya akili?Eid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!