Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye umepata bandoAkili kama za mwendazake
Umeshachangia ada ya wakili?Kula kulala kwa shemeji yako utapataje akili ya kuyajadili mambo yanayohitaji kutumia 75% ya akili?
Hata hilo nimesaidiwa tuHatimaye umepata bando
Tuma yakuchangia fine kwani najua wameshabambikiwa uhujumu uchumi na kutakatisha fedha Hadi wakati huu.Nasubiri kutuma mchango wa wakili Mwanza!
Wakili ni mmoja tu aliye saidia kupatikana hukumu ya MecoUmeshachangia ada ya wakili?
Hapo Ufipa supu ya mapupu hainyweki leo!Kapewa utumbo wa ngamia ndiyo anaenda kujipikilisha ghetto kwake.
Haya bwashee sisi tuko ukumbini tunasubiri askofu Mwamakula atufungulie kongamano la katiba!Hata hilo nimesaidiwa tu
Hahahaaaa........ Mwamba ni mwepesi sana!Tuma yakuchangia fine kwani najua wameshabambikiwa uhujumu uchumi na kutakatisha fedha Hadi wakati huu.
Katiba inayoletwa na vyama vya siasa haiwezi kuwa katiba mpya, labda ya zamani. Katiba mpya ni ile inayoletwa na wananchi (yenye maoni na matarajio ya wananchi) na hii siyo nyingine ni ile ya Tume ya Warioba ambayo tayari ipo (siyo ile nyingine iliyochakachuliwa).Eid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Manufaa ya kupata katiba mpya ni kwa wapinzani tu maana ccm wanatendewa yaliyo mema.Haya bwashee sisi tuko ukumbini tunasubiri askofu Mwamakula atufungulie kongamano la katiba!
Nunua bamia uchanganye kwenye utumbo wa ngamia jamaa yangu.Buku saba leo hampewi.😝😝😝Hapo Ufipa supu ya mapupu hainyweki leo!
Siku yao yaja.Wataachia madaraka hata kwa kunyukwa viboko.Hiyo ni kweli kabisa lakini wawaache vyama,taasisi,mshirika na wadau wengine watoe elimu kwa uhuru ili siku watakapo amua kuileta iyo katiba watu wawe na uelewa mpana maana wasije kuleta mbuzi kwenye gunia yaani badala ya katiba ya wananchi yenye kulinda maslahi,wajibu,haki,nguvu na mamlaka ya wananchi wakalete katiba ya CCM rejea katiba pendekezwa
Hahahaaaa....... Tunamsubiri askofu Mwamakula na Dr Lwaitama hapa ukumbini!Nunua bamia uchanganye kwenye utumbo wa ngamia jamaa yangu.Buku saba leo hampewi.😝😝😝
Kwani umeoga hadi uruhusiwe kuingia ukumbini?Au umepotea njia?Itakuwa umebeba kikapu unakinga nyama za Eid kwa Waarabu.😝😝😝😝😝Hahahaaaa....... Tunamsubiri askofu Mwamakula na Dr Lwaitama hapa ukumbini!
Watakaotoka jela ndio itabidi waoge kwanza!Kwani umeoga hadi uruhusiwe kuingia ukumbini?Au umepotea njia?Itakuwa umebeba kikapu unakinga nyama za Eid kwa Waarabu.😝😝😝😝😝
CCM ipi mkuu maana imeshindwa kwenye kila kitu. Suala la miamala simu tu mmeshindwa, siasa ya ushindani mmeshindwa, mmebakia kubambikiza kesi na kutumia jeshi badala ya hoja za ushindanishi.Eid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kapike utumbo wa ngamia we jamaa!Hakuna mialiko leo.Watakaotoka jela ndio itabidi waoge kwanza!
Umejichanganya. Hicho kitakacholetwa na CCM sio Katiba mpya. Ni katiba viraka maana hao hawawezi kuleta katiba mpya itakayowanyoa wenyewe. Rejea mchakato wa katiba ya Warioba ulivyochakachuliwa mpaka kuleta Katiba pendekezwa-kichekesho!!!!Eid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!