Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Katika hali isiyotarajiwa, askofu Kakobe ametia timu kwenye mkutano wa wapinzani juu ya katiba mpya. Akiwa anaingia ilibidi Lipumba asitishe hotuba ghafla akisubiri raia wamalize kushangilia. CCM kwisha
hata waumini wake walikuwepo na ni cdm pia!!!