Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

acheni uzandiki na unafiki, wenye shida na Kakobe waanzishe uzi kumhusu wamjadili.
Kinachopigiwa kelele ni kwa faida ya wote, alafu mnaleta masikhara.

Hapa mnapoteza mantiki nzima kwa kumjadili Kakobe... mtcheeeeeeeeeeeeew
 
Kila anaependa nchi yetu, na mwenye kutaka katiba mpya yenye maslahi kwa watanzania wote. Ataunga mkono Jitihada hizi.

Mungu atusaidie.
 
Wapi Rev.Christopher Mtikila?kwa jinsi anavyokuaga serious na vipengele vya sheria anapaswa kuwa frontline katika kutetea katiba ya wananchi,vinginevyo amepoteza meno.
 
Siasa zimepelekwa kanisani huu uroho wa madaraka ni mbaya sana tusubiri tuone tutafika wapi manake huku hukunni shura ya maimamu huku upande wa pili ni kakobe tusubiri tuone.

Pitia pale kwa mama Lwakatare uone! Mpaka mapambo ya kanisa ni ccm... Toka zako hapa
 
good! Kaz imefanyika lakin mi naifananisha na umbea (HAUNA POSHO) Mwisho wa siku demokrasia inasema wengi wape ss wenye jicho la 3 wameshaona na hawahangaikii mambo kam haya
 
Pitia pale kwa mama Lwakatare uone! Mpaka mapambo ya kanisa ni ccm... Toka zako hapa

hjui msingi wa hoja yako mapambo ya kanisan yanaendana na ratiba ya kibiblia kaka wala ustafsir kwa mtazamo huo
 
mbona kakobe ni mpinzani wa ccm wa siku nyingi? unakumbuka nchimbi aliwahi kumfananisha na kibwetere wa uganda akachukia kweli kweli!
 
Sote tunajua kakobe ni kiongozi wa dini anaeheshimka nchini. Huyu sawa na mh pengo.

Dini na siasa tunaambiwa ni vitu viwili tofauti. hatua nyingi zimechukuliwa kudhibiti hali hii. hata hili la Ponda nalo source yake ilianza kama hivi/ yeye hakufikia kupanda majukwaa ya wanasiasa kuonyesha hisia zake.
Jee kakobe Jangwani kawakilisha wakiristo gani?
kakobe kasiamama Jangwani kama nani?
mbona vyombo vya habari havikemei swala hili
 
Kwani Kakobe alisema anawawakilisha wakristo? Mbona watanzania tunakuwa na akili fupi sana, tukio lilikuwa very open good enough through TV na Radio. Sikumsikia Kakobe akisema amekwenda pale kuwakilisha kanisa lake wala wakristo. Sasa wewe unakuja na hoja kamasi kama hizi kwa manufaa ya nani?
 
Kwani mashehe hawakuwepo? Acha upuuzi wewe gamba. Umekosa cha kuandika kuhusu mkutano wa jana. Ni wa historia na ulifanikiwa sana.
 
abngalikuwa islamic tungaliambiwa na vyombo vya habari kaingiza siasa katika dini
 
Sote tunajua kakobe
ni kiongozi wa dini anaeheshimka nchini. Huyu sawa na mh pengo.

Dini na siasa tunaambiwa ni vitu viwili tofauti. hatua nyingi
zimechukuliwa kudhibiti hali hii. hata hili la Ponda nalo source yake
ilianza kama hivi/ yeye hakufikia kupanda majukwaa ya wanasiasa
kuonyesha hisia zake.
Jee kakobe Jangwani kawakilisha wakiristo gani?
kakobe kasiamama Jangwani kama nani?
mbona vyombo vya habari havikemei swala hili

Mkuu ni wakristo sio wakiristo, njaa mbaya sana!
 
Back
Top Bottom