Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

wapi rev.christopher mtikila?kwa jinsi anavyokuaga serious na vipengele vya sheria anapaswa kuwa frontline katika kutetea katiba ya wananchi,vinginevyo amepoteza meno.

ccm damu lile.
 
Sote tunajua kakobe ni kiongozi wa dini anaeheshimka nchini. Huyu sawa na mh pengo.

Dini na siasa tunaambiwa ni vitu viwili tofauti. hatua nyingi zimechukuliwa kudhibiti hali hii. hata hili la Ponda nalo source yake ilianza kama hivi/ yeye hakufikia kupanda majukwaa ya wanasiasa kuonyesha hisia zake.
Jee kakobe Jangwani kawakilisha wakiristo gani?
kakobe kasiamama Jangwani kama nani?
mbona vyombo vya habari havikemei swala hili

Alisimama Kama mtanzania anaetaka katiba mpya sio kilaka inayotakwa na ccm pekee..
 
Hivi huyu kakobe kesi zake ziliisha? nasikia waumini wake wamemkataa kwa kuwatapeli.

ametapeli waumini wake weeee, kaona haitoshi,sasa anawatapeli viongozi wa upinzani wamkatie mshiko unaotoka ujerumani! Poor Kakobe, na mimi sishangai kuungana na Dj mwenzake(kwa wale msiomfahamu vizuri kakobe alikuwa ni Dj akiuza cassete pale Tandika) kwa hiyo karudi kwenye fani na Dj mwenzake wa siku nyingi ili wapige hela za misukule!
 
Mkutano ulikuwa umeandaliwa na wanasiasa walioshiriki ni wanachama yeye kakobe ni mwanachama wa chama gani?

nadhani akili yako haifanyi kazi sawasawa,KATIBA NI MALI YA WATANZANIA.hivyo kakobe ana haki kama tulivyo na haki mimi na wewe.
 
Alisimama Kama mtanzania anaetaka katiba mpya sio kilaka inayotakwa na ccm pekee..

Huyo ni uchungu wa yale maguzo ya umeme kupita mbele ya kanisa lake. Alijidai eti umeme hautowaka, umeme unawaka na nguzo zimepita.

Eti kuwa na wapinzania ndio anaikomoa serikali. Cha kushangaza, mara baada ya kupita yale maguzo yaliobeba zile waya za "high voltage" na nguvu zake za kiza zikayayuka. Kanisani anapowatapeli watu hapakaliki, kesi mtindo mmoja zinamuandama na waumini hawamtaki tena. Inabidi akaanze utapeli kwengine, wapi kuzuri zaidi ya kwenye misukule? Hapo sasa!
 
Naona Punda wa mafisadi AKA Buku 7 wasaliti wa Watanzania wameshapewa amri toka Lumumba za kuanzisha threads zao zisizo na mashiko ili tu kuvuruga mafanikio ya kile kilichofanyika leo pale jangwani. Utaahira wenu hata siku moja hautafua dafu.

acha umbulura na SIASA ZAKO NYEPESI
 
Hongera zako wewe mwenye siasa nzito za kuwa punda wa mafisadi. Sijui mimi na wewe tungesimama pale jangwani jana mbele ya umati wa Watanzania wenye mapenzi ya kweli na nchi yao na kuelezea misimamo yetu unajua fika ni nani angeonekana mburula kati yetu katika kadamnasi ile. Haya subiri kesho ukachukue buku 7 kwa mamburula wenzio pale Lumumba baada ya kuandika pumba. Zidumu fikra potofu za DHAIFU!!! ZIDUMU!!!!

acha umbulura na SIASA ZAKO NYEPESI
 
Ondoeni bibilia muache katiba za vyama,
usitake kujitoa akili na kuchanganya siasa na dini
hapa labda huko kwenu ndo mnavyofanya, chama waambie hawa ndugu zako wasoelewa.

Ndugu inatakiwa utambue siasa ni kila kitu iwe kanisani, sehemu za Kazi Mashuleni na hata vijiweni siasa ndio inayoendesha shughuli katika sehemu hizo.
 
Ha ha haaa
mtumishi mwenye hekima yuko wapi,
sema tu ni mwizi asokuwa hata na neno la Mungu la kumtosha.

Mvuvi huwa siku zote anaangalia ni wapi kuna samaki. Hata alivyofanya KAKOBE leo ni kazi ya mungu! Mungu azidi kumpa hekima mtumishi huyu!
 
BAK huwa nakupa respect siku zote,
lakini hili la kusema viongozi wa dini waanze kusimama
kwenye majukwa ya siasa siwezi kukubaliana na wewe hata kwa ncha ya upanga;

Kama wanatumia maneno ya Mungu wawahubirie watu wao kutenganisha mchele na pumba
lakini kwenda kwenye majukwaa ya siasa kwangu ni hapana, na once ningekuwa muumini wake
ningehama kanisa lake mara moja kwa kuwa haelewi hata anachokifanya. Kuweka Bibilia kando
na kuanza kufundisha katiba ya chama?????????

Kwenye ukombozi wa nchi hata viongozi wa wanakondoo huusika pia maana hawapendi kuona wanakondoo wao wakiendelea kuteseka katika nchi iliyojaaliwa utajiri mkubwa sana. Popote pale wanakondoo wanapokuwepo basi na Viongozi wao hawawezi kukosa.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.

Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.
 
Back
Top Bottom