Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Hivi kwa akili ya kawaida tu,mtu anayetoa tangazo la kuvunja amani anafaa kuwa Rais wa Tanzania kweli?

Je Mandela aliyetangaza vita na siasa za Ubaguzi wa rangi hakufaa kuwa raisi, Mbona watu wa ccm ni kama mmelogwa wote na akili zingine kama zimevia? Kwa hiyo madalali wanaouza raslimali za nchi na kuhalalisha madawa ya kulevya, kutowakamata wanaofanya ujangili kwenye wanyama wetu ndo wanaofaa kwenye uraisi? Nenda shule ujipatie elimu, na kama na wewe ni matokeo ya shule za kata au ambazo wawekezaji wanapora dhahabu afu wanawajengea madarasa mawili hapo hatuwezi kuelewana kabisaaaaaaaaaaa.
 
Zito Vipi hajatajwa Leo Wala sijamuona nilikuwa na hamu ya kumuona imekuaje

Zitto anayajua mapito yake mwenyewe..........yuke jamaa sijamwelewa mpaka leo falsafa yake maana sisi wanafasihi tunasema mtu akiwa na falsafa inayobadilika badilika hafai ktk mapinduzi maana mda wowote aweza saliti
 
Naona Punda wa mafisadi AKA Buku 7 wasaliti wa Watanzania wameshapewa amri toka Lumumba za kuanzisha threads zao zisizo na mashiko ili tu kuvuruga mafanikio ya kile kilichofanyika leo pale jangwani. Utaahira wenu hata siku moja hautafua dafu.

Hivi kwa akili ya kawaida tu,mtu anayetoa tangazo la kuvunja amani anafaa kuwa Rais wa Tanzania kweli?
 
ivi kumbe kuna watu na akili zao ni wa fuasi wa CCM! duh
 
Ili kuweka Mambo sawa tutambue kuwa Mkutano wa Leo jangwani haukuwa wa siasa ingawa baadhi ya waliokuwapo ni wanasiasa. Wachambuzi hatuangalii nani alikuwepo bali nini ilikuwa ni hoja na nini kilizungumzwa. Hivyo naunga mkono kabisa uwepo wa Askofu Kakobe pale jangwani.
 
Wakuu nilimuona kakobe kapewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya cuf,chadema na nccr mageuzi.

Swali la kujiuliza hapa kama mkutano ulikuwa wa vyama vya siasa kakobe yeye ni mwanachama wa chama gani kati ya vyama vilivyokuwepo kwenye mkutano.

Au ameshaacha dini na kuanza siasa,ni vizuri aweke wazi ili watu wamjue ni kipi hasa cha kwake kati ya siasa na dini.

mbona una kichwa kigumu? hule ulikuwa ni mkutano kuhusu katiba na katiba ni ya wananchi wote si ya chama fulani na haina dini ,kwa hiyo wasio kuwepo wameamua kutokuwepo.
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu,mtu anayetoa tangazo la kuvunja amani anafaa kuwa Rais wa Tanzania kweli?

CCM IMESHAHARIBU AMANI YA TANZANIA tangu tulipoanza kupanga foleni za sukari,mchele,sembe na elimu kuwa mbovu kuliko,taasisi za serikali kunuka rushwa,reli,viwanda,bandari,plantations kufa
 
Wakuu nilimuona kakobe kapewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya cuf,chadema na nccr mageuzi.

Swali la kujiuliza hapa kama mkutano ulikuwa wa vyama vya siasa kakobe yeye ni mwanachama wa chama gani kati ya vyama vilivyokuwepo kwenye mkutano.

Au ameshaacha dini na kuanza siasa,ni vizuri aweke wazi ili watu wamjue ni kipi hasa cha kwake kati ya siasa na dini.
rais wa walevi
 
Unjust Government is not government at all,I have a RIGHT and even a DUTY to resist with VIOLENCE or CIVIL DISOBEDIENCE, u should be delighted that we have chosen the latter!...bahati yenu maCCM
 
Wakuu nilimuona kakobe kapewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya cuf,chadema na nccr mageuzi.

Swali la kujiuliza hapa kama mkutano ulikuwa wa vyama vya siasa kakobe yeye ni mwanachama wa chama gani kati ya vyama vilivyokuwepo kwenye mkutano.

Au ameshaacha dini na kuanza siasa,ni vizuri aweke wazi ili watu wamjue ni kipi hasa cha kwake kati ya siasa na dini.
Suala la Katiba ni la Asasi zote wakiwemo viongozi wa dini ;
Suala la kuuliza hapa ni kwa nini viongozi wengine wa dini hawakujitokeza wakati katiba hiyo inawahusu na maamuzi ya kutia saini yanaweza kukwamisha juhudi zao.
Watu ni wanafiki badala ya kujenga hoja wanajenga udini ambao ni mtaji wa CCM kuwarubuni wananchi!!
 
Wakuu nilimuona kakobe kapewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya cuf,chadema na nccr mageuzi.

Swali la kujiuliza hapa kama mkutano ulikuwa wa vyama vya siasa kakobe yeye ni mwanachama wa chama gani kati ya vyama vilivyokuwepo kwenye mkutano.

Au ameshaacha dini na kuanza siasa,ni vizuri aweke wazi ili watu wamjue ni kipi hasa cha kwake kati ya siasa na dini.
Wewe si ulikuwa unawadanganya watu kuwa Kakobe ametoroka ??? Gazeti la Mwananchi na citzen mpo?????
 
kumbe Maalimu Seif (makamu wa pili rais Zanzibar) ni mwanachama wa CCM.
Nanukuu maneno ya Lipumba:"ccm wamemsaliti ccm mwenzao,Maalim Seif"
kayasema hayo leo Jangwani

achakuwa kichwa maji wee na kujichatua kama popo la kimboka bynight limekosa wateja kasema balozi seif sio maalim.
 
Sina wasiwasi na Mbowe mwenye ugomvi na Dk. Slaa anayetumia mkono wa chuma kujiimarisha ndani ya CHADEMA. Sina hofu na Mbatia a.k.a "Kura za Maruhani," na Lipumba a.k.a "Msinipigie kura ya ndiyo, zangu mpeni Kikwete" (2010). CHADEMA INASAMBARATISHWA KISAYANSI.

Huwezi kunielewa iwapo upeo wako ni kiwango cha ushabiki na matumaini hewa.

Hatujafika 2015 mkuu!
Ndo kwanza tunatafuka katiba ya nchi,hatuwezi kupata katiba mpya wakati tunapingana!Japokuwa unaloliongelea lipo,lakini katiba itamuhusu kila mtanzania mkubwa kwa mdogo mpinzani na aliye CCM.

Tusubiri 2015 wakati wa uchaguzi ndo tuanze kujadili hayo mengine lakini tukiwa na katiba yenye maslahi kwa watanzania mkononi!

TUACHE UNAFIKI!
 
mbona una kichwa kigumu? hule ulikuwa ni mkutano kuhusu katiba na katiba ni ya wananchi wote si ya chama fulani na haina dini ,kwa hiyo wasio kuwepo wameamua kutokuwepo.
Mkutano ulikuwa umeandaliwa na wanasiasa walioshiriki ni wanachama yeye kakobe ni mwanachama wa chama gani?
 
Siasa zimepelekwa kanisani huu uroho wa madaraka ni mbaya sana tusubiri tuone tutafika wapi manake huku hukunni shura ya maimamu huku upande wa pili ni kakobe tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom