TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Makamuwa Mandela alikuwa on the ground!Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Nenda kakae na Msajili wa Vyama Judge Mutungi, muokoteze vifungu mpaka lumumba.Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio Guantanamo, makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,
Je, katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu?
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Sikutegemea kama swali hili litakuwa zito kwa mashabiki wa Chadema. Basi kuna tatizo mahali.WEwe inakuhusu nini?
Katiba ya CCM inasemaje kuhusu CHAMA kuingilia dini?
Mimi ninachowaomba Wazazi msituzalie watoto wa aina hii ya Simon sero. Wasiojua hata kutofautisha picha zilizopigwa na YASHICA na zile zinazotokana na CCTV cameras.Hii issue ya ugaidi mnapenda kuiimba ila ikigeuziwa upande wenu mnanuna, kama mchezo wenu ndio ulikuwa huo muwape kesi za uongo wakae mahabusu na wengine muwatishe maisha wakimbie nchi ili mpate nafasi ya kupumua poleni, hii ngoma ni kama dormant volcano, imepoa tu, siku yoyote itaamka.
Makamuwa Mandela alikuwa on the ground!
"mashabiki"? hureee, shule zifunguliwe tu, kuna watoto hapaSikutegemea kama swali hili litakuwa zito kwa mashabiki wa Chadema. Basi kuna tatizo mahali.
Ha ha aha aaaa! Mashabiki ndiyo maana hakuna ambaye amelipa ada ya uanachama kwa miaka ya hivi karibuni."mashabiki"? hureee, shule zifunguliwe tu, kuna watoto hapa
Je katiba inasemaje wafia chama wapo gizani na kuhoji wanaogopa kuitwa wasaliti kama zitto R.I.P Chacha wangwe!Nenda kakae na Msajili wa Vyama Judge Mutungi, muokoteze vifungu mpaka lumumba.
Single yenu ya ugaidi imekataa kuuzikaCHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho na wakala wa MAGAIDI unategemea nini hapo?!
Then if ni historia basi umekosea
umesema mandela aliongoza akiwa jela… which is false
tambo led campaign enzi zile za kuwatoa akina sisulu na Mandela akiwa kiongozi wa anc
Mandela was not
Kwani yule Hamza ni gaidi au alidhulumiwa hela zake?Wacha bange zako wewe ccm luwala.
Sasa hivi habari ya mujini ni kilio cha kuondokewa na mwana ccm gaidi.
Naona sasa nafasi yake utaichukua wewe maana mafunzo yenu mlikuwa wote
Mkuu, hili swali lina uzito sana ila unalijibu kirahisi rahisi kiasi hakuna majibu yenye uzito yana wakilishwa.
Africa ya Kusini suala zima lilikuwa tofauti sana. Tofauti yake ilikuwa watu 42 million hawaruhusiwi kupiga kura wakati kwa ujumla wao ilikuwa kama asili mia 85 % hawaingii kwenye mchakato wa kupiga kura.
Chadema sio 82% na haitotokea kuwa 82% ya watanzania kwa kuwa hii ni jamii ya Kitanzania ambayo inakaribia kuwa socially homogeneous society.
Kwa hiyo tutagawanyika katika makundi sana matatu (3) lakini yatakuwa miwili tuu makuu.
Uchambuzi wenye kina na maarifa utatusaidia kuelimika na kujua kipi hapana não kipi ndio. Kuliko majibu ya Jumla ya Sukuma Gang ama Nyumbu.
We always talk about human rights but I contend that, the human rights corpus, though well meaning, is a Eurocentric construct for the reconstitution of non-Western societies and peoples with a set of culturally biased norms and practices.
Only a genuine multicultural approach to human rights can make it truly universal hence democracy and ( multi party ) universal suffrage.
Kumbuka Mbowe ni mtuhumiwa tu na bado hajahukumiwa na kufungwa.---- matokeo yawe ya aina yoyote bado ishara halisi ya; a dying horse tunaiona.
Mmeo anapokuwa safari ya mbali ya zaidi ya miezi miwili au mwaka huwa anamuachia kidume mwingine akukaze kwa sababu hayupo home?Sasa mandela na mbowe wanahusikaje na swali la katiba ya chama!
Siku ile Mandela anakatwa Soweto ilichimbika, Kwazulu haikubaki salama watu walikufa. Mbowe anahasa sana amejitahidi kuwafundisha kuacha uoga lakini hamjamwelewa, achaneni na vinanda kama huku kwetu kanisani tokeni vinanda basi. Mpaka mdole wa jicho umetovugwa unasema unaona dalili za punda kufa mzigo..
Najua huna akili Ila ukiamua kutuliza kichwa zinarudi haya rudi kasome tena harafu linanisha na majibu yakoMandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Makamu Mwenyekiti Issa Said Mohammed yupo.... so anakaimishwa Uenyekiti for the mean time. Rejea hukumu ya kesi ya Akwilina, yeye ndio alikua acting Chairman.Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio Guantanamo, makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,
Je, katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu?
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Najua huna akili Ila ukiamua kutuliza kichwa zinarudi haya rudi kasome tena harafu linanisha na majibu yako
GoodMandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.