Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #21
Hilo wanafanya sana. Si kama hao wa vumbi la kongo. Bahati mbaya wabongo hatuna kabisa ABC za Afya.wanachanganya dawa za asili na dawa modern zilizothibitishwa kutibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo wanafanya sana. Si kama hao wa vumbi la kongo. Bahati mbaya wabongo hatuna kabisa ABC za Afya.wanachanganya dawa za asili na dawa modern zilizothibitishwa kutibu
Hili la muhimu San kuchunga Figo yakoBora ziishie kwenye kuto kutibu kuliko kuharibu na Figo
BB- Basic biologyDawa siyo lazima iwe chungu. Inaweza kuwa tamu kama sukari na kutibu. Mmekarori uchungu ndiyo unaponya, kama mlivyokariri kuwa bia chungu ndiyo inalewesha zaidi. Uchungu ni onyo kwa binadamu na wanyama kukaa mbali na kitu hicho.
Healing process is never sweet,Dawa siyo lazima iwe chungu. Inaweza kuwa tamu kama sukari na kutibu. Mmekarori uchungu ndiyo unaponya, kama mlivyokariri kuwa bia chungu ndiyo inalewesha zaidi. Uchungu ni onyo kwa binadamu na wanyama kukaa mbali na kitu hicho
...Weka Akiba ya Maneno kidogo Mkuu, maana Hata hizo za Hospitali unazoonyesha kuzipapatikia Sana zimetoka humuhumu Kwa miti ya Tiba Mbadala!..Miti na Mizizi Sio Tapeli, Waganga ndio Wengine Matapeli !!Inasaidia sana kwenye saikolojia lakini fahamu watu wote wa tiba mbadala ni matapeli! Babu wa Loliondo, Sheikh Yahaya, Dr. Mwaka, Dr Ndodi, Sanitarium kliniki zote, wamasai, matabibu wote wanaojitangaza redioni, watu wa maombezi n.k n.k.
Tiba mbadala wote ni matapeli, dawa zao hazifanyi kazi. Katibiwe au peleka mgonjwa wako ukiwa na hilo akilini.
Alisema tabibu .....baada ya kumpa mtu maji ya ndulele, limao na mafuta ya taa kama tiba ya jino"Healing process is never sweet,"
kweli usemayo lakini mitishamba inahitaji utaalamu. Madagascar walikuwa na dawa ya mitishamba. Walitumia kutibu kisukari. Watafiti walipokuja wakagundua haitibu kisukari hata kidogo. Badala yake inatibu kansa. Hadi leo ni dawa ya kansa. Dawa zinatoka huko ila zinahitaji utaalamu. Kilichopo eo ni utapeli....Weka Akiba ya Maneno kidogo Mkuu, maana Hata hizo za Hospitali unazoonyesha kuzipapatikia Sana zimetoka humuhumu Kwa miti ya Tiba Mbadala!..Miti na Mizizi Sio Tapeli, Waganga ndio Wengine Matapeli !!
Wakiachwa watakuja sema wanafufua na watu.Mfano huyu kenge namfahamu vizuri kanitumia hizi takatakaView attachment 2380984
Kikombe kimoja kinatibu kila aina ya ugonjwa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama wa masai ndo usije jaribu dawa yao ya ukweli wanayo huza ni ugoro tu.
Mnaangamia kwa kukosa maarifa, elimu ya chuo kikuu haitoshi, kama ingetosha kutibu jino hata usingehitaji tabibuAlisema tabibu .....baada ya kumpa mtu maji ya ndulele, limao na mafuta ya taa kama tiba ya jino
Dah umekumbusha mama yangu alimaliza hayo madumu yote sijui mangapi, aisee hivi huyu dada bado yupo anatibu watu?Na zinaua kweli. Assume umekunywa madumu sijui arobaini ya dawa ya Rahabu!
Inaitwa placebo effect hata huku mahospitalini tunatumia kutibu watu kwa vidonge vya sukari! The trick is to convince your brain to treat itself kwa kuamini kupitia matibabu fulani ambayo kiuhalisia ni majani au mizizi tu au vidonge vyenye sukari japo zipo herbs zinazofanya kazi kweli.Inasaidia sana kwenye saikolojia lakini fahamu watu wote wa tiba mbadala ni matapeli! Babu wa Loliondo, Sheikh Yahaya, Dr. Mwaka, Dr Ndodi, Sanitarium kliniki zote, wamasai, matabibu wote wanaojitangaza redioni, watu wa maombezi n.k n.k.
Tiba mbadala wote ni matapeli, dawa zao hazifanyi kazi. Katibiwe au peleka mgonjwa wako ukiwa na hilo akilini.
anawatukana Watibabu wa Tiba mbadala lakini kwa siri anawafuata ili wapate kumtibia mwongo huyu na mnafiki.Uzima unakupa jeuri, hebu subiri kengele ww