Katibiwe ila fahamu kuwa tiba mbadala wote ni matapeli

Katibiwe ila fahamu kuwa tiba mbadala wote ni matapeli

Nimeandika nikafuta,ila weka akiba ya maneno ndugu yangu,mababu zako walitibiwa na tiba gani? Hii dunia hakuna sehemu utapata tiba ya uhakika kwa 100%. Ndio maana hata dawa zinazotolewa huwa zinaendelea kufanyiwa utafiti wakati wa matumizi ziwapo sokoni. Usilolijua ni usiku wa kiza.
Ni kweli mababu zetu walitibiwa kupitia miti shamba na walipona kwa sababu zamani kulikuwa hakuna ujanja ujanja km ilivyo sasa. Ukosefu mkubwa wa ajira,ugumu wa maisha,watu kukosa uaminifu vyote hivyo vimepelekea kila mtu kuwa tapeli.Si umesikia juzi tu mamlaka ya dawa imekamata watu wanaojiita waganga wakiuza vumbi la Kongo huku wamechanganya na VIAGRA? Kwanza sifa ya mganga wa kweli sharti lake ni kutojitangaza ila ubora wa dawa zake ndo humtangaza. Ukikuta mganga anajitangaza hapo jua ni upigaji.
 
Ni kweli mababu zetu walitibiwa kupitia miti shamba na walipona kwa sababu zamani kulikuwa hakuna ujanja ujanja km ilivyo sasa. Ukosefu mkubwa wa ajira,ugumu wa maisha,watu kukosa uaminifu vyote hivyo vimepelekea kila mtu kuwa tapeli.Si umesikia juzi tu mamlaka ya dawa imekamata watu wanaojiita waganga wakiuza vumbi la Kongo huku wamechanganya na VIAGRA? Kwanza sifa ya mganga wa kweli sharti lake ni kutojitangaza ila ubora wa dawa zake ndo humtangaza. Ukikuta mganga anajitangaza hapo jua ni upigaji.
Zamani ni magonjwa machache tu ambayo mababu waliweza kujitibu. Mengi yaliwau kwa wingi sana. Ikitokea mlipuko ulikuwa unatambaa na maelfu ya watu. Bahati nzuri ni kuwa magonjwa yatokanayo na mtindo wa maisha kama kisukari, pressure hayakuwepo au yalikuwa kwa uchache sana. Tusifanganyike kuwa mababu walijiweza kwa tiba. Magonjwa yaliwatesa sana na hawakujua yalikotoka.
 
Back
Top Bottom