Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite huyuHii nchi imepitia na inaendelea kupitia mengi sanaView attachment 2505424
Kupika ni habari???Acheni ujinga. Kuna ubaya gani mwanamke wa kiafrika kushiriki kupika? Moja ya maadili na mafundisho mazuri ambayo dada zetu au mabinti zetu wanapata kwenye familia zetu ni kupika, sasa mnataka akiwa kiongozi mkubwa kwenye chama chake aache na kutupa kando mila na asili yake ili kuwafurahisha nyie?
Kuna masuala ya msingi tunaweza tukajafili, lakini siyo ujinga kama huu.
Halafu kaandika kwa jazba akimtetea mpishi fake!Alivyo tu,huyo "mpishi",anaonesha hata kwake anapika kweli?Waache utapeli!It's high time for minute issues!Kupika ni habari???
Tuanzie hapa kwanza.
MaCCM ni matapeliHalafu kaandika kwa jazba akimtetea mpishi fake!Alivyo tu,huyo "mpishi",anaonesha hata kwake anapika kweli?Waache utapeli!It's high time for minute issues!
Nadhani kwakua limekuna JF si vibaya kujadiliwa maana ya forum Ni sehemu ya mjadala watu watoe mawazo tifauti na hapo ndipo ujinga, upumbavu, werevu na kuelimika vitadhhirika, . Hauna audacity ya kukataza mjadala hasa kwa public figure Kama Huyo na ambaye kwa makusudi hajapikia nyumbani kwake, amepika sehemu ya umma (kwa mama lishe) ambapo Kuna watu wa Aina tofauti.Acheni ujinga. Kuna ubaya gani mwanamke wa kiafrika kushiriki kupika? Moja ya maadili na mafundisho mazuri ambayo dada zetu au mabinti zetu wanapata kwenye familia zetu ni kupika, sasa mnataka akiwa kiongozi mkubwa kwenye chama chake aache na kutupa kando mila na asili yake ili kuwafurahisha nyie?
Kuna masuala ya msingi tunaweza tukajafili, lakini siyo ujinga kama huu.
Nyie wapenda porojo ndiyo mmeileta hapa kama habari ya maana, mimi nimeiita ujinga. Endeleeni kujadili ujinga, sisi ngoja tujadili issues za msingi kuhusu mustakabali wa taifa letu.Kupika ni habari???
Tuanzie hapa kwanza.
Kupika ndiyo mustakabali wa taifa lenu?Nyie wapenda porojo ndiyo mmeileta hapa kama habari ya maana, mimi nimeiita ujinga. Endeleeni kujadili ujinga, sisi ngoja tujadili issues za msingi kuhusu mustakabali wa taifa letu.
Ungemueleza mpishi fake aache kuigiza upishi.Unaamini angeachiwa hilo sufuria peke yake angeivisha ugali kweli?Analeta puruzai kwenye kazi za watu?😜😜😜😜Nyie wapenda porojo ndiyo mmeileta hapa kama habari ya maana, mimi nimeiita ujinga. Endeleeni kujadili ujinga, sisi ngoja tujadili issues za msingi kuhusu mustakabali wa taifa letu.
Unaamini angeachiwa hilo sufuria peke yake angeivisha ugali kweli?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787]Ungemueleza mpishi fake aache kuigiza upishi.Unaamini angeachiwa hilo sufuria peke yake angeivisha ugali kweli?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Utakua unakosea! Au hujui pia unachokiandikaNyie wapenda porojo ndiyo mmeileta hapa kama habari ya maana, mimi nimeiita ujinga. Endeleeni kujadili ujinga, sisi ngoja tujadili issues za msingi kuhusu mustakabali wa taifa letu.
Pole sanaNadhani kwakua limekuna JF si vibaya kujadiliwa maana ya forum Ni sehemu ya mjadala watu watoe mawazo tifauti na hapo ndipo ujinga, upumbavu, werevu na kuelimika vitadhhirika, . Hauna audacity ya kukataza mjadala hasa kwa public figure Kama Huyo na ambaye kwa makusudi hajapikia nyumbani kwake, amepika sehemu ya umma (kwa mama lishe) ambapo Kuna watu wa Aina tofauti.
Zaidi ya hapo yupo na makamera wanampiga picha kwakuwa Kuna watu wa media picha hizo zifike sehemu tofauti tofauti Tanzania na duniani.
Dhamira yake njema watu wamjadili Kama kiongozi anayejali watu ambaye anaweza kujichanganya katika Mazingira yoyote na hata hivyo katika uenezi wa chama atasikiliza kero na nahitaji ya mama.lishe nankuyapeleka kwenye vikao vya chama na chama kitaielekeza serikali Nini Cha kufanya!
Hali kadhalika kwa kujadiliwa huko makapuku Kama Mimi tutaendelea kuamini chama kipo na sisi hata katika hustle zetu ili ujapo uchaguzi wa serikali za mitaa tukipigie Kura kwa kishindo na baada ya hapo wawe mabosi zetu tuwanyenyekee!
Pamoja na hayo tunajadili ili wengine wajitazame na waseme yao kuwa huko Ni kujipendekeza tu kwa hadhi na maisha anayoishi Mjema na Chongolo sio wa kufanya hayo, hayo Ni maigizo ya siasa cheap!
Kwhiyo bwana mzee usiwakataze watu kujadili public issue kwa namna wanavyoiona utakua narrow minded
Hii sio FB Ni GT forum
Adios
We ndio mjingaAcheni ujinga. Kuna ubaya gani mwanamke wa kiafrika kushiriki kupika? Moja ya maadili na mafundisho mazuri ambayo dada zetu au mabinti zetu wanapata kwenye familia zetu ni kupika, sasa mnataka akiwa kiongozi mkubwa kwenye chama chake aache na kutupa kando mila na asili yake ili kuwafurahisha nyie?
Kuna masuala ya msingi tunaweza tukajafili, lakini siyo ujinga kama huu.
Ndio hivi comrade Kinana na Mwenyekiti Samia alivyokufundisha ujibu kwa hoja?Pole sana
Huo ndiyo ukweli.😜😜😜😜Unaamini angeachiwa hilo sufuria peke yake angeivisha ugali kweli?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787]