Pre GE2025 Katibu Mkuu ADC: Tulipanga kufanya maandamano kuunga mkono miswada ipitishwe kuwa sheria lakini CHADEMA wakatuwahi

Pre GE2025 Katibu Mkuu ADC: Tulipanga kufanya maandamano kuunga mkono miswada ipitishwe kuwa sheria lakini CHADEMA wakatuwahi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.


Hapo vipi Wakuu?
TAKATAKA TPU, VIHELA VYA CCM JITU ZIMA KAMA BWEGE
 
Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.


Hapo vipi Wakuu?
akina pwagu na pwaguzi kazini kwenye mapambano ya nguvu ya kukosa kushika dola 😀
 
Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.


Hapo vipi Wakuu?

Mwunga mkono anawahiwa vipi na anayepinga?
 
Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.


Hapo vipi Wakuu?
Mbona anaongeza kama Mwakilishi wa Serikali?
 
Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.


Hapo vipi Wakuu?
CCM ikaanzisha vyama pinzani kwa minajiki kama hii.

Kumbe chama pinzani ni kimoja tu! CHADEMA ndo chama pinzani tena mbadala wa CCM
 
Bado ccm inatumia mbinu za kizamani sana. Hayo matawi yake ndio wanadhani watatupoteza maboya.
ndio zinafanya kaz sana juz kati nimesikiliza mkutano mmoja wa viongoz wa ccm nikaja nikasikiliza,, mkutano wa chadema majibu nilio yapata ni chadema kutumi mbinu za chuo kumfundisha o level,, na hy haiwez leta matokea,,, mnayoyataka, ccm wanatumia mbinu za mtoto
 
Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.


Hapo vipi Wakuu?
Angalia msukule wa CCM huu,wamenunuliwa suti za kuja kufanyia press conference.
 
ndio zinafanya kaz sana juz kati nimesikiliza mkutano mmoja wa viongoz wa ccm nikaja nikasikiliza,, mkutano wa chadema majibu nilio yapata ni chadema kutumi mbinu za chuo kumfundisha o level,, na hy haiwez leta matokea,,, mnayoyataka, ccm wanatumia mbinu za mtoto
Cdm hawahitaji wajinga, unapokuwa na wajinga wasiobadilika ni hasara hata kwa taifa.
 
Back
Top Bottom