Pre GE2025 Katibu Mkuu ADC: Tulipanga kufanya maandamano kuunga mkono miswada ipitishwe kuwa sheria lakini CHADEMA wakatuwahi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TAKATAKA TPU, VIHELA VYA CCM JITU ZIMA KAMA BWEGE
 
akina pwagu na pwaguzi kazini kwenye mapambano ya nguvu ya kukosa kushika dola 😀
 

Mwunga mkono anawahiwa vipi na anayepinga?
 
Mbona anaongeza kama Mwakilishi wa Serikali?
 
CCM ikaanzisha vyama pinzani kwa minajiki kama hii.

Kumbe chama pinzani ni kimoja tu! CHADEMA ndo chama pinzani tena mbadala wa CCM
 
Bado ccm inatumia mbinu za kizamani sana. Hayo matawi yake ndio wanadhani watatupoteza maboya.
ndio zinafanya kaz sana juz kati nimesikiliza mkutano mmoja wa viongoz wa ccm nikaja nikasikiliza,, mkutano wa chadema majibu nilio yapata ni chadema kutumi mbinu za chuo kumfundisha o level,, na hy haiwez leta matokea,,, mnayoyataka, ccm wanatumia mbinu za mtoto
 
Angalia msukule wa CCM huu,wamenunuliwa suti za kuja kufanyia press conference.
 
Cdm hawahitaji wajinga, unapokuwa na wajinga wasiobadilika ni hasara hata kwa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…