Pre GE2025 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi amehitimisha ziara ya siku mbili mkoani Singida kwa kusambaratisha hoja zote za Lissu za kibaguzi

Pre GE2025 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi amehitimisha ziara ya siku mbili mkoani Singida kwa kusambaratisha hoja zote za Lissu za kibaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu tuhuma zake kuhusu muungano hunakili vifungu vya katiba, je katibu mkuu wako kanakili pia vifungu kutetea hoja?
 
Hata kichaa akiona mtu mwenye akili timamu anamuona ni chizi. Hebu soma comments za watu juu ya threads zako ujione kuwa wewe siyo mzima.
Kwa hiyo wewe inaangalia komment ndio unahitimisha hoja yako? Ndio nani alikufundisha hivyo mawazo dhaifu kiasi hicho? Kwa hiyo kwako wewe na tuakili twako huto huto unaaamini kuwa jambo likiungwa nawatu wengi ndio linakuwa la kweli mna likipingwa na wengi hata kama ni la ukweli linabadilika kuwa la uongo?umewahi kusoma habari za Galileo?
 
Haina mvuto kwako wewe na upeo wako.lakini wananchi wameona namna ilivyo na tija ,kwa kuwa wamepata nafasi ya kusikilizwa kero zao mbalimbali na kupatiwa majibu.
. Usiwe muongo kupitiliza aise.. Huyu muenezi wa sasa huwezi kulinganisha na waliopita hata kidogo...


. Kama tungelikuwa na chama pizani imara, FISIEMU mungeliwa Kichwa mapema sana.
 
U
Kwa hiyo wewe inaangalia komment ndio unahitimisha hoja yako? Ndio nani alikufundisha hivyo mawazo dhaifu kiasi hicho? Kwa hiyo kwako wewe na tuakili twako huto huto unaaamini kuwa jambo likiungwa nawatu wengi ndio linakuwa la kweli mna likipingwa na wengi hata kama ni la ukweli linabadilika kuwa la uongo?umewahi kusoma habari za Galileo?
Nilizisoma wakati bado uko kwenye boxer ya dingi wako.
 
Yaani bora hata mngekuwa mnakaa kimya
Mnavyoongea ongea ndio mnazidi kututibua watanzania
Labda mmemuelewa CCM
Ila sio sisi wazalendo

Nimebubujikwa na machozi ya huzuni
 
Yaani bora hata mngekuwa mnakaa kimya
Mnavyoongea ongea ndio mnazidi kututibua watanzania
Labda mmemuelewa CCM
Ila sio sisi wazalendo

Nimebubujikwa na machozi ya huzuni
Watanzania wamekataa kabisa kumuunga mkono na kuunga mkono kauli za kibaguzi na chuki kutoka kwa Lissu. Watanzania wanapenda siasa ila siyo siasa za kibaguzi na kuchochea chuki kama afanyavyo Lissu aliyefirisika kihoja.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.

Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.

Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.

Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.

Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara,Arusha , Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Wabubujikwa na machozi wananchi wa singida!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.

Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.

Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.

Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.

Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara,Arusha , Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yeye kaenda na kaondoka, Lisu ni kwao, hivi yuko njiani kuelekea Singida na gari lililoshambuliwa kwa risasi. Mwambie Katibu wako arudi wafanye mdahalo.
 
Lissu hana hoja zenye mashiko zaidi ya kujaa ubaguzi na chuki Binafsi kwa Mheshimiwa Rais wetu. Hata hivyo watanzania wameamua kumpuuza kabisa Lissu . Ndio maana unaona hata michango yake yakutaka gari jipya la kifahari inasua dua sana .hata wanachadema wenyewe wamegoma kuchangia.
Mbaguzi na mwenye maneno ya kuleta chuki inakuaje bado yuko mtaani? Unamaanisha serikali na mahakama ya Tanzania ni dhaifu?
 
Lissu baada ya kuona hotuba ya Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi zimezima na kusambaratisha hoja zake ,ameamua sasa arejee tena Singida June 1 kujaribu kujisafisha.baada ya kugundua kuwa wananchi wana hasira kali zidi yake na wala hawataki hata kumuona.
Lissu hoja zake kuzijibu inatakiwa uwe na akili timamu
 
Back
Top Bottom