Baba Ndumbwi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 447
- 712
Lissu tuhuma zake kuhusu muungano hunakili vifungu vya katiba, je katibu mkuu wako kanakili pia vifungu kutetea hoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu inabidi akamatwe alambishwe viboko.. Yawezekana akili ikamkaa sawa 😄😄😄.Kwamba yakimuijia mambo yoyote kichwani baada ya kupalilia kwenye vibarua vya mashamba ya mihogo anaandika tu?🤣🤣🤣
Hata kichaa akiona mtu mwenye akili timamu anamuona ni chizi. Hebu soma comments za watu juu ya threads zako ujione kuwa wewe siyo mzima.Wewe ni wakusamehewa bure tu maana matatizo iliyonayo kichwani mwako yanahitaji msaada wa haraka na dharura.
Wamstue au wampeleke hoteli ya Milembe akapumzike?Huyu atakuwa na fungus kwenye ubongo wake,sijui hana ndugu wa kumstua kuwa anajidhalilisha kwa hizi mada zake za kiduwanzi
Nashauri viwe ni viboko "salasini na tisa" vya shingoni hadi alie ..."eejooo ejooo malafyaleee"...!Huyu inabidi akamatwe alambishwe viboko.. Yawezekana akili ikamkaa sawa 😄😄😄.
Inategemea kama ameshaanza kula majalalani hawezi kupona.Wamstue au wampeleke hoteli ya Milembe akapumzike?
Kwa hiyo wewe inaangalia komment ndio unahitimisha hoja yako? Ndio nani alikufundisha hivyo mawazo dhaifu kiasi hicho? Kwa hiyo kwako wewe na tuakili twako huto huto unaaamini kuwa jambo likiungwa nawatu wengi ndio linakuwa la kweli mna likipingwa na wengi hata kama ni la ukweli linabadilika kuwa la uongo?umewahi kusoma habari za Galileo?Hata kichaa akiona mtu mwenye akili timamu anamuona ni chizi. Hebu soma comments za watu juu ya threads zako ujione kuwa wewe siyo mzima.
Hata maombi ya manabii hayatafaa?🤣🤣🤣Inategemea kama ameshaanza kula majalalani hawezi kupona.
. Usiwe muongo kupitiliza aise.. Huyu muenezi wa sasa huwezi kulinganisha na waliopita hata kidogo...Haina mvuto kwako wewe na upeo wako.lakini wananchi wameona namna ilivyo na tija ,kwa kuwa wamepata nafasi ya kusikilizwa kero zao mbalimbali na kupatiwa majibu.
Nilizisoma wakati bado uko kwenye boxer ya dingi wako.Kwa hiyo wewe inaangalia komment ndio unahitimisha hoja yako? Ndio nani alikufundisha hivyo mawazo dhaifu kiasi hicho? Kwa hiyo kwako wewe na tuakili twako huto huto unaaamini kuwa jambo likiungwa nawatu wengi ndio linakuwa la kweli mna likipingwa na wengi hata kama ni la ukweli linabadilika kuwa la uongo?umewahi kusoma habari za Galileo?
Shingo inauma sana mkuu na inatabia ya kuvimba haraka 😬😬😬..Nashauri viwe ni viboko "salasini na tisa" vya shingoni hadi alie ..."eejooo ejooo malafyaleee"...!
Watanzania wamekataa kabisa kumuunga mkono na kuunga mkono kauli za kibaguzi na chuki kutoka kwa Lissu. Watanzania wanapenda siasa ila siyo siasa za kibaguzi na kuchochea chuki kama afanyavyo Lissu aliyefirisika kihoja.Yaani bora hata mngekuwa mnakaa kimya
Mnavyoongea ongea ndio mnazidi kututibua watanzania
Labda mmemuelewa CCM
Ila sio sisi wazalendo
Nimebubujikwa na machozi ya huzuni
Anapewa kipigo cha mwana ukome.Ni kumnyunda siyo kumchapa hadi aseme hoja zimejibiwa au wali-buybuy time ili watu watulie!?Shingo inauma sana mkuu na inatabia ya kuvimba haraka 😬😬😬..
Ulikosa malezi ya wazazi wako katika makuzi yako. ,ndio maana huna hekima wala busara wala staha.upo upo tu hata hujitambui.U
Nilizisoma wakati bado uko kwenye boxer ya dingi wako.
Kalime matikitiNakusamehe bure kabisa kama alivyotuasa Mungu kuwasamehe hata maadui zetu na wale watukwazao.
Wabubujikwa na machozi wananchi wa singida!Ndugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.
Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.
Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.
Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.
Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara,Arusha , Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Yeye kaenda na kaondoka, Lisu ni kwao, hivi yuko njiani kuelekea Singida na gari lililoshambuliwa kwa risasi. Mwambie Katibu wako arudi wafanye mdahalo.Ndugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.
Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.
Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.
Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.
Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara,Arusha , Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbaguzi na mwenye maneno ya kuleta chuki inakuaje bado yuko mtaani? Unamaanisha serikali na mahakama ya Tanzania ni dhaifu?Lissu hana hoja zenye mashiko zaidi ya kujaa ubaguzi na chuki Binafsi kwa Mheshimiwa Rais wetu. Hata hivyo watanzania wameamua kumpuuza kabisa Lissu . Ndio maana unaona hata michango yake yakutaka gari jipya la kifahari inasua dua sana .hata wanachadema wenyewe wamegoma kuchangia.
Lissu hoja zake kuzijibu inatakiwa uwe na akili timamuLissu baada ya kuona hotuba ya Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi zimezima na kusambaratisha hoja zake ,ameamua sasa arejee tena Singida June 1 kujaribu kujisafisha.baada ya kugundua kuwa wananchi wana hasira kali zidi yake na wala hawataki hata kumuona.