Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Nalima mahindi. Hayo matikiti kalime weweKalime matikiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalima mahindi. Hayo matikiti kalime weweKalime matikiti
Tangia lini maneno ya kibaguzi na chuki yanayotolewa na lisuu yakawa hoja?Lissu hoja zake kuzijibu inatakiwa uwe na akili timamu
Ukweli unaitwa ubaguzi?Mtu akikuita wewe ni mwana-Mbeya utachukia na kumwambia akuite Mnyiha tu?Tangia lini maneno ya kibaguzi na chuki yanayotolewa na lisuu yakawa hoja?
Katibu Mkuu wetu hawezi kufanya mdahalo na watu wasiojitambua .Yeye kaenda na kaondoka, Lisu ni kwao, hivi yuko njiani kuelekea Singida na gari lililoshambuliwa kwa risasi. Mwambie Katibu wako arudi wafanye mdahalo.
😂😂😂😂😂
Maji na Mafuta 😂😂😂johnthebaptist Huhitaji akili kubwa kujua huyu Lucas Mwashambwa ni nani?
Hongera mkuu kwa I'D nyingi
Shetani siku zote ni mbaya lakini tukienda kwa mganga ndio tunafanya nae kazi...Maji na Mafuta 😂😂😂
Unamjua Choicevariable, Kamanda Asiyechoka, Lucas 😂😂🔥
Wewe ambaye humjui baba mzazi ndiye una sifa hizo. Unafikiri ungekuwa na baba angekuacha uaabishe ukoo kwa huu upumbavu unaofanya humu JF. Muulize vizuri mama yako usikute mimi ndiye baba yako halisi ili nije nikusaidie maana unakoelekea utaokota makopo.Ulikosa malezi ya wazazi wako katika makuzi yako. ,ndio maana huna hekima wala busara wala staha.upo upo tu hata hujitambui.
Mkuu ukiamua kuwa muumini wa kauli hii basi uwe mwaminifu kwayo, kama hoja ni kupangua hoja za Lisu mambo ya michango yanaingiaje kwenye hoja hii tena!!Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja.
Mkuu kivipi? fafanua!Ziara ya huyo jamaa, hata haileweki... Haina mvuto.. Ipo ipo tu kama pombe za kienyeji
We mpumbav mbona unapungua akili au RUBA wa kwenye Ng'olezi ya mpunga wamekunyoosha? wananchi wawe na hasira na Lissu kwa kwa lipi au wewe hapo ulipo una hasira dhidi ya LISSU kwa Lipi alilokukosea? Kwa taarifa yako hakuna anaependwa na wananchi wa tz kama Lissu na huwe linganisha na mtu yeyote ambae bado anapumua hapa tz na nikukumbushe ukimchukia sana Lissu ujue kabisa kaburi limekusogelea na jehanam kunakuhusu kama huta muulize kiongozi uchwara wa mashetwani.Lissu baada ya kuona hotuba ya Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi zimezima na kusambaratisha hoja zake ,ameamua sasa arejee tena Singida June 1 kujaribu kujisafisha.baada ya kugundua kuwa wananchi wana hasira kali zidi yake na wala hawataki hata kumuona.
Lissu Hana Hoja Zaidi ya Kauli za kibaguzi na chuki zake zinazotokana na kukatalika na watanzania.Mkuu ukiamua kuwa muumini wa kauli hii basi uwe mwaminifu kwayo, kama hoja ni kupangua hoja za Lisu mambo ya michango yanaingiaje kwenye hoja hii tena!!
Tulia kwenye hoja yako Mkuu!!
Sasa PS kama huyu unategemea atakuwa na akili gani? usitumie nguvu kuua sisimizi tumia nguvu kuua Simba mzeeWe mpumbav mbona unapungua akili au RUBA wa kwenye Ng'olezi ya mpunga wamekunyoosha? wananchi wawe na hasira na Lissu kwa kwa lipi au wewe hapo ulipo una hasira dhidi ya LISSU kwa Lipi alilokukosea? Kwa taarifa yako hakuna anaependwa na wananchi wa tz kama Lissu na huwe linganisha na mtu yeyote ambae bado anapumua hapa tz na nikukumbushe ukimchukia sana Lissu ujue kabisa kaburi limekusogelea na jehanam kunakuhusu kama huta muulize kiongozi uchwara wa mashetwani.
Tumia akili dogo kufikiri.Wakina mama wa UWT nyie ni watu na nusu
Ni ziara ya kipumbavu snZiara ya huyo jamaa, hata haileweki... Haina mvuto.. Ipo ipo tu kama pombe za kienyeji
Kuna sehemu nimekutaja?Tumia akili dogo kufikiri.
Kwako wewe usiye jitambua hata kidogo.Ni ziara ya kipumbavu sn
Katibu Mkuu wa UWT amesema wote muanze kuvaa uniform za chama muda wote mpaka uchaguzi mkuu utakapopita mwakani. zingatieni maelekezoKwako wewe usiye jitambua hata kidogo.