Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
CCM huwa wanatuaminisha kwa Ni Chama chenye Democracy pana ,.Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.
Kwa nafasi yake ya ukatibu mkuu, yeye ni mtendaji mkuu wa chama, kwa hiyo alikuwa anajua kila kilichokua kinaendelea ndani ya chama hasa kwa hao waliokuwa wanajipitisha pitisha kabla ya wakati kwa mujibu wa CCM kuutaka urais wa Zanzibar. Lakini, for your information, mpaka leo hii jumatatu, waliokwishachukua form za kuomba uteuzi wa kugombea urais wa Zanzibar kupitia CCM wameshafika 14, imezidi hiyo idadi aliyokuwa ameisema Dr. Bashiru.Alijuaje idadi kuwa wako 12 ?
Ingekuwa ni hivyo hata huyo aliepo basi asingekuwepo maana alipatikana kwenye wengiKatibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.
Huyu dokta anatetemeka nini, kwani haijui demokrasia?
Kumbe pamoja na ujuaji wao wanaogopa makundi, lazima yawapasue tu, na kwenye ubunge ndio itakuwa balaa zaidi, si walifurahia kununua wanadamu wenzao kama mbuzi huku wakichekelea, sasa wajiandae kwa malipo.
Hadi Jecha mazee..... Dah!!??
Kumbe ndio maana huku Bara form ya Muungano imetolewa moja tuu.
Mbona anaanza kuogopa mapema hivyo.?
Hivi huku bara 2015 watia nia ndani ya CCM kugombea urais walivyofika zaidi ya 40 walikua wanatumiwa na wakina nani? Mabeberu au Majike?
Wanampigania mtu wao hapo kwa kuwaita wengine wanatumiwa na mabeberu. Bara wanapandikizi lao na Zanzibar wana wana mtu wao wanayemtaka hao wengine ni chambo.
Huyo mtu wao wa Zanzibar ndiyo anaitwa anatumika na Mabeberu,hahahahaha
Magufuli akiamka vibaya siku ya mchujo anawafuta wote hao, anaweka jina la anayemtaka
Hiyo clip ya Dr. Bashiru ni ya zamani, aliitoa wakati amefanya ziara Zanzibar na ilikuwa kabla hata CCM hawajafungua dirisha la kuchukua forms kwa wanachama wake wanaotaka kuteuliwa kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama hicho. Alikuwa anawakemea kuanza kujipitisha pitisha kabla ya wakati, kwani kwa kufanya hivyo walikuwa wanakivuruga.
Ukiona hivyo,ujue kuna mtu wao wameshamuandaa.
Jina ni langu, kama umelipenda kamrithishe mwanao. Nilichodanganya ni kipi? Huo ukweli unaoujua wewe ni upi?Wacha kudanganya watu wewe na jina lako la ajabu ajabu
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.