Tetesi: Katibu Mkuu CCM, Kinana kujiuzulu Novemba 2016?

Status
Not open for further replies.
Umeongea mengi ukasahau unaemsifia kanunua ndege wakati hospitali hazina chanjo na madawati ni ya kuombaomba. We ndo bado hujamwelewa.

Unachosubiri kuhusu mahakama ya mafisadi ni ndoto. Utang'amua hilo punde.
 
Hatunywi sumu[emoji441] [emoji443]
Hatujinyongiiiiii[emoji443] [emoji441]
 
Wakiambiwa wathibitishe wanambwera.. Wakifungiwa wanalia.. Habari za udaku hizi
 
Hakuna mtu wa kuachia ulaji huko ccm, muda wa.Kinana unamalizika 2017 .

Labda JK arudi kuudai uenyekiti wake kama Lipumba ndio inaweza kuwa habari.
kwani magufuli si aliisimika tena secretariat Kinana hawezi vibwanga vya magufuli vya sura mbili
 
Tatizo ni gazeti ambalo likitoka asubuhi saa 12, ikifika saa 4 asubuhi hiyohiyo unakuta limefungiwa vitumbua!hahahahhaaaaa, haya maisha bhana
 
NOSENSE WW SI UNA NDUGU ZAKO WAPO AMBAO HAWANA AJIRA WANATAABIKA OVYO WW UNALALA LUMUMBA UNAJISAHAU
 
Kesho tu utamsikia Nape analifungia gazeti la Mwanahalisi, kisa limemnukuu Kinana akiweka wazi kwamba baba Jes.ca si msikivu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…