ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Huo ni uchochezi
Akijibu nitagHukuona alichofanyiwa yule Profesa wa OUT alipochukua tahadhari yeye mwenyewe na chuo chake? Wanafiki sana nyie mataga
Chanjo ya mchina haifanyi kazi kwa south Africa's variant of covid19sio kwamba kuna watu walikimbilia kupga chanjo kisiri Siri,sasa Mambo Yana enda kombo??? nikijaribu kutafakari na kuunganisha dots,ni Kama Ina sound.
Nitafakari tu wakuu.
KoteSasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
Mkuu punguza chuki tunapaswa kuishi kwa upendo. Akuna binadamu anayepanga kifoKumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!
Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.
Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!
Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi PRESHA INAPANDA kabla hata ya kupokea, roho ipo juu juu huna amani masaa yote. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze kutoa pole thread ipi!!!
Dawa hakuna lakini chanjo zipoSerikali haiwezi kufanya lolote dawa hakuna
Labda watangaze kuwa mgeni yupo
Na anauaaa
Ili uishi wewe mwenyewe inabidi ujiongeze
Tatizo wabongo washazoea kuchukylia vitu mzaha...
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kwa innercircle waliopiga Astrazenneca JabsSasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
Angekua anatupenda angetulinda mkuu.mkuu punguza chuki tunapaswa kuishi kwa upendo
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.