Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Umekaa kimbeyambeya kama Juma LokoleNyepesi Nyepesi ni kwamba RSO wa Simiyu na DSO wa Geita wamefariki kwa CORONA poleni sana wana Usalama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekaa kimbeyambeya kama Juma LokoleNyepesi Nyepesi ni kwamba RSO wa Simiyu na DSO wa Geita wamefariki kwa CORONA poleni sana wana Usalama.
Kwahiyo?Mimi mwenyewe nakoa kohoa nina mafua halafu nko kwenye Harusi du
Malaya wewe mimi sio saizi yako sijawahi ona mkurya aliyekeketwa kama wewe ana mdomo mchafu kama wewe.Umekaa kimbeyambeya kama Juma Lokole
Zitto apumzike tu na aendelee na kazi yake ya kuiponya nchi ya Zanzibar.
Corona siyo ugonjwa wa aibu lakini taarifa rasmi tuliyopewa haijasema marehemu amekufa kwa corona. Kama wewe una taarifa hiyo tuwekee ushahidi hapa. Sasa inaelekea kila anayefariki inadaiwa ni corona kana kwamba corona ndio sababu pekee ya vifo!! Sijui kwa nini watu wanaishabikia corona hivi!Hivi Corona Ni ugonjwa wa aibu au?!!! Unazungukazunguka Nini Mkuu?!! Why all this?!!!
Ni lazima Jiwe na timu yake wawajibike kwa maisha yetu yanayopotea kila siku
Mambosasa badala kwenye kupambana na maabara ya Taifa ambao wanatupima COVID kwa $100 kutoka $12 anasumbua Agha Khan !!Mmmmh unaweza ukaamka kesho ukajikuta nchi nzima upo mwenyew, Rip
Zitto anyamaze , siku aliyoungana na Dicteta kumsingi alikubali fikra na mawazo na maamuzi yake, asitafute Kiki Kwa pikipikiZito aache utapeli, kuna ushahidi kibao wa watu kuuwawa ili ccm wake madarakani hasa huko Zanzibar, ni hatua ipi alichukua zaidi ya wao kwenda kuungana na wauaji kwa ghiliba ya kuliponya taifa?
Watawajibishwa vipi?