Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Ipo hivi, Hata quran ikichomwa moto duniani kote ikapotea
Watachukuliwa watoto atleast watano tu, tena wenye umri wa chini ya miaka kumi, wataindika quran yote tena within 24 hours

Quran ipo vifuani mwa watu, msijisumbue kuchoma, hamumkomeshi mtu
Angalau baadhi mmeanza kutoka maporini na vichakani na kuanza kuona kwamba kuchoma isiwe issue kwani ni swala kuandika nyingine tu.
Inabidi uwasaidie wenzako kuelewa hilo.
 
Katoka iraq halafu achome hicho kitabu? Mbona iraq ni nchi ya waamini hicho kitabu?
Iraq ina wakristo wengi tu kama ilivyo palestina, tatizo wengi wenu mnafuata mkumbo tu kila mkiona muarabu mnajua muislamu, na huwezi kuamini wakristo wengi wanajua waisrael ni wakristo kumbe la hasha
 
Katibu mkuu wa NATO Bwana Jens Stoltenberg amesema kuchoma Quran hadharani sio kosa ingawa inaweza kua sio jambo la kupendeza.

Bwana Jens Stoltenberg ameyasema hayo wakati akijibu maswali kuhusu matukio yaliyotokea hivi karibuni nchini Sweden ya kuchoma Quran hadharani baada ya mtu mmoja kutoka Iraq kuchoma Quran juzi siku ya Idd.

Soma hapo zaidi hapa chini.

=========

It is not necessarily a crime to burn the Koran in public, NATO Secretary General Jens Stoltenberg said on Thursday, responding to a question about the recent incident in Sweden which caused outrage among Muslims.

The issue is especially sensitive, given that the Muslim-majority country of Türkiye is one of the two member states that has so far refused to ratify Sweden’s bid to join the US-led military bloc.

“I understand the emotion and the depth of feeling this causes,” Stoltenberg told reporters at a press conference on Thursday. He added that the burning of the Koran is “offensive and objectionable [but] not necessarily illegal.”

Stoltenberg also addressed the anti-NATO protests in Sweden that took place earlier this month. “I do not like them. But I defend the right to disagree. This is part of the freedom of expression,” he said.

“What is important for me is that we have to make progress on finalizing the accession of Sweden into the alliance,” the NATO chief explained. “I spoke with [Turkish President Recep Tayyip] Erdogan recently and we agreed to convene a high level meeting of officials here in Brussels, Thursday, next week.”

On Wednesday, an Iraqi citizen living in Sweden burned a copy of the Koran outside a mosque in Stockholm amid the celebrations of Eid al-Adha, a major Muslim holiday.

Türkiye, one of the two member states that have so far not ratified Sweden’s bid to join the bloc, strongly condemned the Swedish authorities for allowing the book-burning to go ahead.
Protesters storm Swedish embassy following Koran burning

“We will eventually teach Western monuments of arrogance that insulting Muslims is not freedom of thought,” Erdogan said on Thursday, according to Anadolu news agency.

“As [for] those who commit this crime, those who allow it under the guise of freedom of thought, those who turn a blind eye to this baseness will not achieve their goals,” the Turkish leader said.

Ankara previously objected to anti-Turkish demonstrations in Stockholm that were organized by Kurdish and left-wing groups. Erdogan has threatened to block Sweden’s accession to NATO unless the Nordic country extradites people linked to the Kurdistan Workers’ Party (PKK), which Ankara considers a terrorist organization.
The Swedish authorities have condemned the public burning of the Koran in the past, but argued that such actions are protected under the country’s liberal laws.

“Sweden has a far-reaching freedom of expression, but it does not imply that the Swedish Government, or myself, support the opinions expressed,” Foreign Minister Tobias Billstrom said in January.

RT


Ni kweli sio kosa, ila sio busara kusema hayo in Public, kuna namna watalipia gharama ya maneno yao.
 
Hivi hawa watu wa Imani sijui wamekuaje; Kwanini kwa Wakristu wasifuate msemo wa ukipigwa shavu moja ugeuze na lingine; na hawa Islams kwanini tu wasimsomee mtu Albadiri au kumuachia Muumba ajipambanie ?

Kwani lazima mtake mahakama zijae watu walishwe kwa kodi za wananchi ?
 
View attachment 2674568
wanazidi kuingia uislamu kwa wingi huyu pastor kaingia uislamu na waumini wake woote 100000na juzi kaenda kuhiji wanazidi kuja tu mpaka kijulikane ni dini gani ya kweli
Hivi kama una akili hata kidogo unaweza amini Uislam ni dini ya kweli watu ambao wanaamini kuna majini wazuri na wabaya! Pia kuna Muislam ambaye siyo mshirikina [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Ipo hivi, Hata quran ikichomwa moto duniani kote ikapotea
Watachukuliwa watoto atleast watano tu, tena wenye umri wa chini ya miaka kumi, wataindika quran yote tena within 24 hours

Quran ipo vifuani mwa watu, msijisumbue kuchoma, hamumkomeshi mtu
Tusijisumbue wakati kachoma mwarabu mwenzenu.
 
Sio kila kitu kilicho sahihi au batili lazima kiandikwe kwenye vitabu vya sheria vingine lazima tu busara ziwaongoze watu.
 
Back
Top Bottom