Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Bro naona unabwabwaja sana. Lets make long story short. Kosa la kuchoma kitabu cha dini lipo? Na hukumu yake ni nini? Naomba jibu.
Muulize huyo mtumishi!Alifutwa kazi,je alikata rufaa?Hatima yake ikoje mpaka leo?
Nadhani nimekujibu,kwa msaada zaidi,nimekuwekea hotuba ya mkapa,nenda kasome kwa utulivu!
Pengine usingeuliza maswali haya!
 
Muulize huyo mtumishi!Alifutwa kazi,je alikata rufaa?Hatima yake ikoje mpaka leo?
Nadhani nimekujibu,kwa msaada zaidi,nimekuwekea hotuba ya mkapa,nenda kasome kwa utulivu!
Pengine usingeuliza maswali haya!
Sasa nimuulize wakati wewe ndio unatetea hoja hapa. Mimi najadiri na wewe au na huyo aliefukuzwa kazi?


Any way tukirudi kwenye hoja Sec wa NATO alikuwa anatoa majibu kwa muktadha wa sheria zao hawakumkuta na kosa shida iko wapi?
 
Sasa nimuulize wakati wewe ndio unatetea hoja hapa. Mimi najadiri na wewe au na huyo aliefukuzwa kazi?


Any way tukirudi kwenye hoja Sec wa NATO alikuwa anatoa majibu kwa muktadha wa sheria zao hawakumkuta na kosa shida iko wapi?
Shida ni kuwa mnaushabikia huo upuuzi ambao sisi kama watanzania tumeukataa!
Unapata faida gani kushabikia huo ujinga?
Hivi wewe kama mtanzania,hujui misingi ambayo nchi yetu imejengwa nayo?Its a shame!
 
Shida ni kuwa mnaushabikia huo upuuzi ambao sisi kama watanzania tumeukataa!
Unapata faida gani kushabikia huo ujinga?
Hivi wewe kama mtanzania,hujui misingi ambayo nchi yetu imejengwa nayo?Its a shame!
"Sisi watanzania" unamuwakilisha mtanzania yupi na yupi mpaka unatumia "sisi"

Hakuna anaetetea vurugu ndiomana ninasema hakukuwa na haja ya hao wapuuzi walioandamana. Kwani wangekaa kimya ingekuwa mwisho wa kuabudu?

Mwenye kitabu kaamua kuchana unaachana nae unaendelea na mambo mengine as long as hajazuia kwa namna yoyote ile nyie kuabudu.
 
Waislamu msiingie mtego huo wa freemason hio ni planned ajenda wanajua mtalipuka ili ajenda Yao itimie
 
Wamechoma kopi ya Quran na Sio kuifuta Quran shida ipo wapi msiingie mitego ya wajinga
 
View attachment 2674568
wanazidi kuingia uislamu kwa wingi huyu pastor kaingia uislamu na waumini wake woote 100000na juzi kaenda kuhiji wanazidi kuja tu mpaka kijulikane ni dini gani ya kweli
Hapo ndio sijaelewa. Inasemekana njia ya kuingia mbinguni ni nyembamba na wataingia wachache bali ile ya jehanamu ni Pana na wengi watapotelea huko.
Kama usemayo ni kweli, huoni ishara hiyo ya wengi kusilimu na kwenda huko ni kwa vile njia hiyo ndiyo pana?
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Waslamu bana..... Mbona bible hata ikitawazia hamna munkari kwa wakristo.....
 
Ipo hivi, Hata quran ikichomwa moto duniani kote ikapotea
Watachukuliwa watoto atleast watano tu, tena wenye umri wa chini ya miaka kumi, wataindika quran yote tena within 24 hours

Quran ipo vifuani mwa watu, msijisumbue kuchoma, hamumkomeshi mtu
Aliyechoma katokea kwenye Uislam, labda aliona inafundisha ujinga akaamua kuitia moto.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Katibu mkuu wa NATO Bwana Jens Stoltenberg amesema kuchoma Quran hadharani sio kosa ingawa inaweza kua sio jambo la kupendeza.

Bwana Jens Stoltenberg ameyasema hayo wakati akijibu maswali kuhusu matukio yaliyotokea hivi karibuni nchini Sweden ya kuchoma Quran hadharani baada ya mtu mmoja kutoka Iraq kuchoma Quran juzi siku ya Idd.

Soma hapo zaidi hapa chini.

=========

It is not necessarily a crime to burn the Koran in public, NATO Secretary General Jens Stoltenberg said on Thursday, responding to a question about the recent incident in Sweden which caused outrage among Muslims.

The issue is especially sensitive, given that the Muslim-majority country of Türkiye is one of the two member states that has so far refused to ratify Sweden’s bid to join the US-led military bloc.

“I understand the emotion and the depth of feeling this causes,” Stoltenberg told reporters at a press conference on Thursday. He added that the burning of the Koran is “offensive and objectionable [but] not necessarily illegal.”

Stoltenberg also addressed the anti-NATO protests in Sweden that took place earlier this month. “I do not like them. But I defend the right to disagree. This is part of the freedom of expression,” he said.

“What is important for me is that we have to make progress on finalizing the accession of Sweden into the alliance,” the NATO chief explained. “I spoke with [Turkish President Recep Tayyip] Erdogan recently and we agreed to convene a high level meeting of officials here in Brussels, Thursday, next week.”

On Wednesday, an Iraqi citizen living in Sweden burned a copy of the Koran outside a mosque in Stockholm amid the celebrations of Eid al-Adha, a major Muslim holiday.

Türkiye, one of the two member states that have so far not ratified Sweden’s bid to join the bloc, strongly condemned the Swedish authorities for allowing the book-burning to go ahead.
Protesters storm Swedish embassy following Koran burning

“We will eventually teach Western monuments of arrogance that insulting Muslims is not freedom of thought,” Erdogan said on Thursday, according to Anadolu news agency.

“As [for] those who commit this crime, those who allow it under the guise of freedom of thought, those who turn a blind eye to this baseness will not achieve their goals,” the Turkish leader said.

Ankara previously objected to anti-Turkish demonstrations in Stockholm that were organized by Kurdish and left-wing groups. Erdogan has threatened to block Sweden’s accession to NATO unless the Nordic country extradites people linked to the Kurdistan Workers’ Party (PKK), which Ankara considers a terrorist organization.
The Swedish authorities have condemned the public burning of the Koran in the past, but argued that such actions are protected under the country’s liberal laws.

“Sweden has a far-reaching freedom of expression, but it does not imply that the Swedish Government, or myself, support the opinions expressed,” Foreign Minister Tobias Billstrom said in January.

RT
Huyo NATO sasa wewe nenda kaseme jews au tukana Hallocust kuwa ni fake utajuta kuzaliwa hakuna cha free expression wala nini au siku hizi katukane wale chama cha mashoga usikie habari yake, shida ya nchi hizi free expression katika mambo wanayotaka lakini ya Mashoga na jews usiwaseme utaitwa mbaguzi na kutengwa yalimpata Kanye West.
 
Wanaochana ni nduguz zenu , quran hizo zimesababisha maisha ya waarabu wengine hasa walio wa iman moja na nanyi wameteseka sana sio somalia , syria , iraq hata Mali , kitab hicho kinawatak waislam wengine kuchukua uhai wa waislam wengine
Kitabu cha kipuuzi sana. Kimejenga chuki kwa jamii. Bora niwe mpagani kuliko kuwa mwislamu. Yanaamini yakifa yatapewa mabikra 72 Mbiguni..ujuha huu
 
Kitabu cha kipuuzi sana. Kimejenga chuki kwa jamii. Bora niwe mpagani kuliko kuwa mwislamu. Yanaamini yakifa yatapewa mabikra 72 Mbiguni..ujuha huu
Jina lingine kinaitwa SATAN VERSE
 
Katibu mkuu wa NATO Bwana Jens Stoltenberg amesema kuchoma Quran hadharani sio kosa ingawa inaweza kua sio jambo la kupendeza.

Bwana Jens Stoltenberg ameyasema hayo wakati akijibu maswali kuhusu matukio yaliyotokea hivi karibuni nchini Sweden ya kuchoma Quran hadharani baada ya mtu mmoja kutoka Iraq kuchoma Quran juzi siku ya Idd.

Soma hapo zaidi hapa chini.

=========

It is not necessarily a crime to burn the Koran in public, NATO Secretary General Jens Stoltenberg said on Thursday, responding to a question about the recent incident in Sweden which caused outrage among Muslims.

The issue is especially sensitive, given that the Muslim-majority country of Türkiye is one of the two member states that has so far refused to ratify Sweden’s bid to join the US-led military bloc.

“I understand the emotion and the depth of feeling this causes,” Stoltenberg told reporters at a press conference on Thursday. He added that the burning of the Koran is “offensive and objectionable [but] not necessarily illegal.”

Stoltenberg also addressed the anti-NATO protests in Sweden that took place earlier this month. “I do not like them. But I defend the right to disagree. This is part of the freedom of expression,” he said.

“What is important for me is that we have to make progress on finalizing the accession of Sweden into the alliance,” the NATO chief explained. “I spoke with [Turkish President Recep Tayyip] Erdogan recently and we agreed to convene a high level meeting of officials here in Brussels, Thursday, next week.”

On Wednesday, an Iraqi citizen living in Sweden burned a copy of the Koran outside a mosque in Stockholm amid the celebrations of Eid al-Adha, a major Muslim holiday.

Türkiye, one of the two member states that have so far not ratified Sweden’s bid to join the bloc, strongly condemned the Swedish authorities for allowing the book-burning to go ahead.
Protesters storm Swedish embassy following Koran burning

“We will eventually teach Western monuments of arrogance that insulting Muslims is not freedom of thought,” Erdogan said on Thursday, according to Anadolu news agency.

“As [for] those who commit this crime, those who allow it under the guise of freedom of thought, those who turn a blind eye to this baseness will not achieve their goals,” the Turkish leader said.

Ankara previously objected to anti-Turkish demonstrations in Stockholm that were organized by Kurdish and left-wing groups. Erdogan has threatened to block Sweden’s accession to NATO unless the Nordic country extradites people linked to the Kurdistan Workers’ Party (PKK), which Ankara considers a terrorist organization.
The Swedish authorities have condemned the public burning of the Koran in the past, but argued that such actions are protected under the country’s liberal laws.

“Sweden has a far-reaching freedom of expression, but it does not imply that the Swedish Government, or myself, support the opinions expressed,” Foreign Minister Tobias Billstrom said in January.

RT
He is right on his part.
 
Ipo hivi, Hata quran ikichomwa moto duniani kote ikapotea
Watachukuliwa watoto atleast watano tu, tena wenye umri wa chini ya miaka kumi, wataindika quran yote tena within 24 hours

Quran ipo vifuani mwa watu, msijisumbue kuchoma, hamumkomeshi mtu
Hivi ndivyo mlivyopaswa kuishi. Sasa wanashangaza ndugu zenu wengine wanapopanic kiasi cha kuua MTU, kwa kuwa tu makaratasi yaliyoandikwa maneno mnayodai ni ya mungu yamechanwa au kuchomwa!

Aliyerudufu kitabu ni mchina kwenye kiwanda chake, anayenunua ni mchaga baada ya kumpiga hela mjomba wake, baada ya muda anaamua kuchoma kitabu chake sawa na nguo chakavu, SHIDA NINI?
 
Wa

Pro NATO Wapo? Na huo ndo msimamo wao dini zote zitoweke shetani ashike usukani, utasikia ushoga sio kosa ni uhuru wa mtu.
kwa hapa tanzania, ukiambiwa useme mtu akichomna icho kitabu atakuwa amefanya kosa la jinai, tutajie kifungu ili watu waelewe. unawezakuta hata hapa sio kosa, ila haipendezi kwasababu utaumiza hisia za watu. kwani kwa tz ni kosa? kosa gani? kifungu gani?
 
Back
Top Bottom