Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Hii mitifuano ya DINI inanithibitishia mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote, na nguvu zote hayupo. Ni stori za jamii kale za kigiriki.
 
Hivi ndivyo mlivyopaswa kuishi. Sasa wanashangaza ndugu zenu wengine wanapopanic kiasi cha kuua MTU, kwa kuwa tu makaratasi yaliyoandikwa maneno mnayodai ni ya mungu yamechanwa au kuchomwa!

Aliyerudufu kitabu ni mchina kwenye kiwanda chake, anayenunua ni mchaga baada ya kumpiga hela mjomba wake, baada ya muda anaamua kuchoma kitabu chake sawa na nguo chakavu, SHIDA NINI?
Shida ni, quran inachomwa kwa mantiki gani
 
Shida ni, quran inachomwa kwa mantiki gani
Mantiki yoyote ile, haibatilishi chochote juu ya usahihi wa Uislamu, wala kuhalalisha chochote juu ya uislamu.

Uislamu unabaki kuwa Uislamu haijalishi ni mantiki gani imetumika kuchoma Quran.
SHIDA NINI? Wengi wako na over reaction kiasi cha kutafakarisha mara nyinginyingi utimamu wa kichwani.

Badilikeni, mnatusumbua sana kiasi cha kufanya mchukiwe. Biblia zinachomwa, vinyamkera vinachomwa, irizi zinachomwa, makanisa yanachomwa, sawa na Quran na Misikiti, KWANINI NI NINYI TU NDIO IWATOE UTU, wakati uislamu wako hauko kwenye cement ya Dangote iliyojenga msikiti, au miti iliyooteshwa Iringa kutengeneza karatasi za kitabu chenu?

Badilikeni.
 
Kitabu cha kipuuzi sana. Kimejenga chuki kwa jamii. Bora niwe mpagani kuliko kuwa mwislamu. Yanaamini yakifa yatapewa mabikra 72 Mbiguni..ujuha huu
Pole sana uislamu ndio dini inayopigwa vita sana cha ajabu ndio inayoongoza kwa kukua kwa kasi ya ajabu siyo ulaya wala Africa watu wanaipendea nini? Ni kwa sababu ndio dini ya ukweli isiyo na kona kona yani imenyooka
 
Hv serikali ya Sweden inahusikaj kwenye ujinga wenu ? aliyechana na mtumishi wa serikali ya sweden je kafanya kama agizo pa serikali ? Unataka ashikwe kwa kosa gan kwa mujib wa katiba ya sweden ? Je aliyechana ni raia asili wa sweden au ni raia asili wa nchi gan ? Kwannn afanye hivyo kwa dini ya asili yake yeye , na asifanye hivyo kwa biblia ? matatizo yenu bakien nayo wenyew , msitake kuwabebesha wengine mzigo wa lawama , walichoma kanisa huko Zanzibar na kumuua pastor je kuna mtu alishikwa je waliishia wap ? kama wengine wanavyopuuza maswala yasiyohusisha serikali kulaumiwa pia na nyiny jaribun kutatua matatizo yenu bila kuwahusisha wasiohusika
umewabongea vema. Njoo new africa saa tano asubuhi nikupe lunch na bia za bure!
 
Mantiki yoyote ile, haibatilishi chochote juu ya usahihi wa Uislamu, wala kuhalalisha chochote juu ya uislamu.

Uislamu unabaki kuwa Uislamu haijalishi ni mantiki gani imetumika kuchoma Quran.
SHIDA NINI? Wengi wako na over reaction kiasi cha kutafakarisha mara nyinginyingi utimamu wa kichwani.

Badilikeni, mnatusumbua sana kiasi cha kufanya mchukiwe. Biblia zinachomwa, vinyamkera vinachomwa, irizi zinachomwa, makanisa yanachomwa, sawa na Quran na Misikiti, KWANINI NI NINYI TU NDIO IWATOE UTU, wakati uislamu wako hauko kwenye cement ya Dangote iliyojenga msikiti, au miti iliyooteshwa Iringa kutengeneza karatasi za kitabu chenu?

Badilikeni.
Umeandika ujinga
 
naunga mkonyo hoja! Quraan ni tambala kama madekio mengine tu. Yaani niinunue kwa pesa yangu halafu niichome, atokee mtu akasirike? shauri yake!
 
Back
Top Bottom