Katibu Mkuu NATO, Jens Stoltenberg: Kuchoma Quran sio kosa

Hii mitifuano ya DINI inanithibitishia mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote, na nguvu zote hayupo. Ni stori za jamii kale za kigiriki.
 
Shida ni, quran inachomwa kwa mantiki gani
 
Shida ni, quran inachomwa kwa mantiki gani
Mantiki yoyote ile, haibatilishi chochote juu ya usahihi wa Uislamu, wala kuhalalisha chochote juu ya uislamu.

Uislamu unabaki kuwa Uislamu haijalishi ni mantiki gani imetumika kuchoma Quran.
SHIDA NINI? Wengi wako na over reaction kiasi cha kutafakarisha mara nyinginyingi utimamu wa kichwani.

Badilikeni, mnatusumbua sana kiasi cha kufanya mchukiwe. Biblia zinachomwa, vinyamkera vinachomwa, irizi zinachomwa, makanisa yanachomwa, sawa na Quran na Misikiti, KWANINI NI NINYI TU NDIO IWATOE UTU, wakati uislamu wako hauko kwenye cement ya Dangote iliyojenga msikiti, au miti iliyooteshwa Iringa kutengeneza karatasi za kitabu chenu?

Badilikeni.
 
Kitabu cha kipuuzi sana. Kimejenga chuki kwa jamii. Bora niwe mpagani kuliko kuwa mwislamu. Yanaamini yakifa yatapewa mabikra 72 Mbiguni..ujuha huu
Pole sana uislamu ndio dini inayopigwa vita sana cha ajabu ndio inayoongoza kwa kukua kwa kasi ya ajabu siyo ulaya wala Africa watu wanaipendea nini? Ni kwa sababu ndio dini ya ukweli isiyo na kona kona yani imenyooka
 
umewabongea vema. Njoo new africa saa tano asubuhi nikupe lunch na bia za bure!
 
Umeandika ujinga
 
naunga mkonyo hoja! Quraan ni tambala kama madekio mengine tu. Yaani niinunue kwa pesa yangu halafu niichome, atokee mtu akasirike? shauri yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…