Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Kinana na Makonda , nani mwenye uafadhali mpaka useme hutoshangaa??.


Hivi kweli MAGUFULI amkatae mtu, JPM , Mwanausalama na Jasusi mahili , akukataee ni kwamba anakuonea wivu??.


Kama ulikataliwa na JPM, wee Jua HAUFAI TUU.

Ukweli ni kwamba Kuna watu wanapenda kua viongozi Kwa sababu tu Mabichwayao yatajaa masifa na kujiona fahari, ila huo Uongozi Huwa hawajui waufanyie nn katika kumkomboa mtanzania.
 
Yeye anatakiwa awajibike kwasababu gani katı ya hizo ulizozitaja hapo juu?
 
Kinana na Makonda , nani mwenye uafadhali mpaka useme hutoshangaa??.
Labda hakuna mwenye afadhali..

Lakini wa Abdulhaman Kinana kama nilivyosema kwa mjumbe mmoja hapo juu ni debatable, yaani mtu anaweza kubisha mpaka aoneshwe ushahidi maana husikia tu, hajawahi kuona...!

Lakini wa huyu ndugu Makonda a.k.a Bashite, huhitaji kuambiwa wala kuanza kuutafuta ushahidi wa uchafu wake..

Ndiyo maana tunajiuliza swali hili;

Kwamba, Je ina maana majambazi na wauaji (CCM) waliamua kumpa uongozi jambazi na muuaji mwenzao..?
 
Yeyote tu atayoona inafaa inakubalika ikiwa ni pamoya na kwenye baraua sambazwa
Mimi sioni sababu yoyote inayofaa kati ya hizo ulizozitaja.

Kama kuna ambayo wewe unaona inafaa, na kwasababu wewe ndiye uliyezitaja sababu hizo, naomba uniambie ni kwasababu gani unaona kuwa inafaa?

Kwanini nakuuliza wewe swali kutokana na ulichokiandika na wewe tena unasema “yoyote tu atayoona inafaa”?

Umeandika kiswahili kisicho sanifu, lakini wewe jibu swali langu tu tuachane na hoja ya kama unafahamu kiswahili sanifu au laah.
 
kwahiyo niseme sababu unayotaka au inayokupendeza wew kua hii ndio inafaa, right?

Kuwajibika ni kuwajibika tu, kuna kusaidia wew binafsi lakini kunasaidia kuretain credibility ya taasisi...

Kuwajibishwa ni kitu mbaya sana...
 
kwahiyo niseme sababu unayotaka au inayokupendeza wew kua hii ndio inafaa, right?

Kuwajibika ni kuwajibika tu, kuna kusaidia wew binafsi lakini kunasaidia kuretain credibility ya taasisi...

Kuwajibishwa ni kitu mbaya sana...
Sababu itakayonipendeza ambayo wewe umeitaja itawezekanaje na wakati sina sababu ya kuona sababu yoyote?

Wewe ndiye uitaje hiyo sababu ya sababu yako!

Rudi nyuma Soma mabandiko yako ujuwe sababu ya maswali yangu kuhusiana na sababu zako ambazo hazina sababu.

Kuwajibishwa bila sababu?
 
Safi sana ameandika barua yenye Maudhui mazuri sana, hekima na ustaarabu, Mungu amzidishie hekima na busara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…