Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Vita
Hii vita sijui kwanini nahisi hajahusika Makonda ila kwakuwa ndiye adui na anayeonekana kuwa mhuni wa wazi ataangushiwa yeye na ni namna ya kumfanya aliyemteua asiendelee 'kukosea'. Siamini kwa dhambi zake angeingia kwenye vita na mtu aina ya Chongolo ambaye ukimwangalia kwa haraka mwepesi but haiko hivyo. Ana watu.
 
Ha ha ha haaaaaaaaa mkuu tumeipuuza barua hiyo. Umetukumbusha 2021. Tunamtakia siku njema KM.
 
Kiongozi anaweza fanya maamuzi ya kiufundi, asiwe na uhakika na asilimia ngapi lengo lake litatimia na muda gani itachukua kufikia hazma yake.

Kwenye uteuzi wa Makonda inaonekana ‘bi tozo’ huko halipo anatabasamu kila saa kama lengo lilikuwa ni kuinua brand CCM kwa walalahoi na kuwanyima usingizi wapinzani wake wa ndani na nje ya CCM.

Watu wanaweweseka na uwepo wa Makonda CCM, imefikia kila siku uzushi mpya ndani ya chama toka afike hapo na kutafuta mitafaruku hewa.

Never let your opponent know what your thinking, based on this move ‘bi tozo’ keshapata picha ya haraka nani enforcer wake hakimuhitaji kwa jinsi Makonda anavyo ogopwa na watu kadhaa na anavyoaminika na watu kadhaa.
 
Kuachia ngazi mwenyewe ni kufunga milango ya kupata teuzi ama kupitishwa na vikao vya chama kwenye nafasi nyingine wakati mwingine.

Kwa umri wa Chongolo sifikirii labda ingekuwa Kinana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…