Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Bingwa wa kupambana na Corona ndo hataki kuulizwa maswali na waandishi wa habari watanzania tupime uwezo wake na uelewa wake???Tofautisha Rais wa JMT/ bingwa wa kupambana na corona duniani NA wachumia tumbo wengine
Wasanii wanaotembea na Magufuli kwenye kampeni za urais ni sawa na ubwabwa wa Mzee Rungwe. Vyote ni rushwa na kutojiamini uwezo wako wa kuvuta watu kuja kukusikiliza.
Hebu tazama hii picha kwanza comrade kabla sijakujibu. Hao unawaona hapo mbele ni vikongwe?Na kutoa unifom za ccm kwa vitoto vya shule mkivilazimisha kujaa kt mikutano ya ccm kama ule wa kirumba mwanza ina maana gani au kwa ccm au ndo pale unapojitekenya ili ucheke?
Katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Chama anayekijua in and outKwa hiyo Bashiru ndio level za Lissu, Magu anajua kukera, au wangempeleka Polepole tu 😂😂😂
Leo Ni Leo nguli wa Siasa Dr Bashiru Ally anaingia ulingoniKatibu mkuu anaenda kupiga msumari wa mwisho kwenye jeneza la chadema. Uchambuzi wa prof. Umefanyika mwaka jana mambo yamebadilika imani ya wananchi kwa ccm imezidi kuongezeka
Dr Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45. kwahiyo mzee meko ka kwepa kwa sababu ataropoka siyo kama kawaida yake na hana ustadi wa kisomi, ahahaha Lisu kamatia hapohapo mataga mwaka huu kazi mnayo kelikweliKatibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia
1-Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli.
2-Sera na Ilani mpya ya CCM
3-Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake
4-Muelekeo wa Kampeni
5-Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa wagombea wa CCM.
Dr Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Ni kweli kabisa, ila hicho kipindi kwa sasa ni kwa ajili ya wagombea wa urais. Mtoeni Magufuli ili Polepole akagombea aende kwenye hicho kipindi. Mwanafunzi mwenye akili hufanya mtihani mwenyewe, na wala hatumi mtu kumfanyia.
Meko hana saizi yoyote amebakia tu kutapatapa haoni hata pa kushika, maji ya shingo,usishangae siku mbili kabla ya uchaguzi mradi wa bomba la mafuta ukazinduliwa rasmi tenaTumeona tayari kipindi cha Lissu ITV, hamna cha maana, Magu kwenda hapo hapo ni kumpa kiki tu Lisu, size ya Lissu ni Polepole.
Ni aibu kuwa na mgombea ambae hawezi hata kuhimili maswali ya waandishi wa Habari!!! Kama vipi mgombea wenu si angekuwa Bashiru?? Kwa nini mnajodhalilisha hivi na mgombea wenu ambae hana maono wala uelewa mpana hadi mnamficha na midahalo na waandishi wa habari???Katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Chama anayekijua in and out
Kuna watu wa aina nyingi: kuna wale mungu amewajaalia kutenda na matokeo ya matendo yao kuongea kwa niaba yao, na pia kuna aina nyingine waliojaaliwa kuongea tuuu! Hawa matendo ni machache!, - Magufuli (matendo) vs Lissu (maneno tu).Dah ! Mgombea wa CCM Mpya John Pombe Joseph Magufuli sijawahi kumuona akifanyiwa mahojiano ya aina yoyote na chombo cha habari wala kushiriki katika mdahalo kushindanisha mipango na maono yake.
Mambo yakiharibika wanaCCMpya wanaelekeza lawama siyo kwa Mgombea wao bali kwa wataalamu na wasaidizi kama Bashiru Ally kushauri kununua wanasiasa wa upinzani, Dr. Philip Mpango sera za fedha & Uchumi, Humphrey Polepole dhana potovu kuwa upinzani utakuwa umekufa 2020, Prof. Palamagamba Kabudi kuhusu korosho n.k kwa kumshauri mgombea wao vibaya.
Ingekuwa kipindi hiki hakijarekodiwa basi tungempelekea mtangazaji Fardhia Middle kuhoji vipi ACT-Wazalendo, CHADEMA, CUF, CHAUMMA wote waliwapeleka wagombea wa urais ktk kipindi pendwa cha Dakika 45 ITV Tanzania kuelezea na kutetea toka ndani ya mioyo yao sera, mipango na maono yao lakini CCM Mpya wanamficha mgombea wao asije studio kuhojiwa ?
Una hasira na umepanic!Huyu ameshakuwa "takataka" upstairs he has nothing to offer! Ubongo, kwa sababu ya njaa na uroho wa madaraka, umeshahamia njia ya haja kubwa and so tainted with bacteria, nematodes and viruses and hence his thinking capacity and his intellectual capacity diminished to the lowest level!
CCM mpya hapa hamjamtendea haki Mgonbea uraisi 2020. Mnawapa room wapinzani kupigia msumari madhaifu ya mgombea. Kuweka mambo sasa, mara elfu angehojiwa yeye kuondoa dhana potofu kwa watanzania.Katibu mkuu anaenda kupiga msumari wa mwisho kwenye jeneza la chadema. Uchambuzi wa prof. Umefanyika mwaka jana mambo yamebadilika imani ya wananchi kwa ccm imezidi kuongezeka
Sina muda mchafu wa kumsiliza huyu.Bora nimsikilize MaguKatibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia
1- Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli.
2- Sera na Ilani mpya ya CCM
3- Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake
4- Muelekeo wa Kampeni
5- Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa Wagombea wa CCM.
Dkt. Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Mbona magu ilikua akipiga kampeni na kupita kijiji hadi kijiji kuanzia mwaka 2016 mpaka Leo kwahiyo hajamaliza kutaangaza madaraja na uwanja wa chatoKila chama na mikakati yake, wao CHADEMA wamempeleka Lissu kwenye hicho kipindi, Magu yeye ameamua kutembea kijiji kwa kijiji, kila mtu ashinde mechi zake tusilazimishane njia za kupiga kampeni.
Tunamtaka Magufuli kwenye 45Min. Bashiri siyo mgombea hana mvuto wala hatajibu maswali tunayotaka kujua ikiwemo makosa na mauchafu aliyofanya boss wakeKatibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia
1- Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli.
2- Sera na Ilani mpya ya CCM
3- Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake
4- Muelekeo wa Kampeni
5- Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa Wagombea wa CCM.
Dkt. Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Sawa Lowassa halikuwa fit kushirika mdahalo wote kwasasa tuna wakili msomi yupo imara nanyie muna Phd holder kwanza debate iwe kwa lugha ya kibeberu si wote wamesomea vitabu vyawo kwa kizungu.Maisha Yanakwenda Kasi Mno...
#Uchaguzi Mkuu 2015...
Chadema UKAWA waliweka mpira kwapani wakamzuia mh.Lowassa kwa kuukataa mdahalo...😂😂
Tuweni na KUMBUKUMBU aseee