Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Aimiminia Sifa Na Pongezi Tanzania kwa Kuwa Kinara wa Amani Barani Afrika.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Aimiminia Sifa Na Pongezi Tanzania kwa Kuwa Kinara wa Amani Barani Afrika.

Ndugu zangu Watanzania,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Antonio Guterres Ameimiminia sifa na pongezi kubwa sana Tanzania chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa kuwa Kinara wa Amani Barani Afrika.

Ametoa sifa na pongezi hizo alipokutana na kufanya mazungumzo Ofisini na Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa alipokutana naye Nchni Marekani .ambako yupo huko kwa ajili ya kumuwakilisha Mama yetu Mpendwa katika mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa. lenye kauli mbiu ya kutokumuacha yeyote yule nyuma. Kushirikiana Pamoja kuendeleza Amani , maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Katibu Mkuu huyo Ameipongeza sana Tanzania kwa kupokea kwa miaka mingi wakimbizi kutoka Nchini Burundi na kuwahifadhi ,mpaka sasa ambapo nchi hiyo imetulia ,kuwa na amani na utulivu. Ameipongeza Tanzania kuendelea kutoa na kupeleka wanajeshi wake kulinda amani katika nchi mbalimbali ndani ya jumuia ya Afrika mashariki pamoja na SADC ,pamoja na kusaidia sana katika ukombozi wa nchi mbalimbali za Afrika kujipatia uhuru wake kutoka kwa wakoloni..

Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa amemueleza juu ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa mwishoni mwa mwaka huu pamoja na uchaguzi Mkuu hapo mwakani.

Waziri Mkuu hapo kesho atashiriki katika mkutano huo na kutoa salamu za serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Nahodha wetu makini na shujaa wetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja Mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye kugusa mioyo ya watuView attachment 3102431

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amelishwa matango pori huyo.
 
My.principle (methodical doubt principle) is to doubt everything lest I'm misled to believe what's false. So, I can only trust when I see something working and not what other people say it is working.
I am, a man of words and actions, assemble yourselves behind me for bright development future 🐒
 
I am, a man of words and actions, assemble yourselves behind me for bright development future 🐒
That's for you and not for me. I'm as I am. I can only follow something only when I see it myself that it has value to me and not because someone else says it has value. I have been like this since I was a child and so other people's opinions don't change me. God can change me because I believe in fundamental truths.
 
That's for you and not for me. I'm as I am. I can only follow something only when I see it myself that it has value to me and not because someone else says it has value. I have been like this since I was a child and so other people's opinions don't change me. God can change because I believe in fundamental truths.
Ok saint Thomas 🐒
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Antonio Guterres Ameimiminia sifa na pongezi kubwa sana Tanzania chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa kuwa Kinara wa Amani Barani Afrika.

Ametoa sifa na pongezi hizo alipokutana na kufanya mazungumzo Ofisini na Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa alipokutana naye Nchni Marekani .ambako yupo huko kwa ajili ya kumuwakilisha Mama yetu Mpendwa katika mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa. lenye kauli mbiu ya kutokumuacha yeyote yule nyuma. Kushirikiana Pamoja kuendeleza Amani , maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Katibu Mkuu huyo Ameipongeza sana Tanzania kwa kupokea kwa miaka mingi wakimbizi kutoka Nchini Burundi na kuwahifadhi ,mpaka sasa ambapo nchi hiyo imetulia ,kuwa na amani na utulivu. Ameipongeza Tanzania kuendelea kutoa na kupeleka wanajeshi wake kulinda amani katika nchi mbalimbali ndani ya jumuia ya Afrika mashariki pamoja na SADC ,pamoja na kusaidia sana katika ukombozi wa nchi mbalimbali za Afrika kujipatia uhuru wake kutoka kwa wakoloni..

Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa amemueleza juu ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa mwishoni mwa mwaka huu pamoja na uchaguzi Mkuu hapo mwakani.

Waziri Mkuu hapo kesho atashiriki katika mkutano huo na kutoa salamu za serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Nahodha wetu makini na shujaa wetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja Mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye kugusa mioyo ya watuView attachment 3102431

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Attachments

  • IMG-20240921-WA0089.jpg
    IMG-20240921-WA0089.jpg
    54.1 KB · Views: 3
With Grace and Blessings of God, I can do that.

You Just relax,
Believe in God and trust in me, you and others Tanzanians will enjoy development 🐒
Huwezi kumkuta mwana CHADEMA humu jukwaani akiongea na kuandika kizungu kama ufayavyo wewe. Maana wao shule waliikimbia😀😀😀
 
Huwezi kumkuta mwana CHADEMA humu jukwaani akiongea na kuandika kizungu kama ufayavyo wewe. Maana wao shule waliikimbia😀😀😀
Kwa hiyo kuandika kingereza ndiyo usomi na kuandika Kiswahili ni ujinga,basi hata wewe ulikimbia shule.
 
Wewe kweli bado mburula sana. Kumbe ndiyo maana unajaza tu server za JF kwa maandiko yako yasiyo na maudhui. Sasa nikiandika Kijerumani utaelewa kitu?
Nimekwambia andika kizungu na siyo kijerumani.kwanini unakuwa mjinga kiasi hicho dogo.Andika hapa ili tuone.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Antonio Guterres Ameimiminia sifa na pongezi kubwa sana Tanzania chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa kuwa Kinara wa Amani Barani Afrika.

Ametoa sifa na pongezi hizo alipokutana na kufanya mazungumzo Ofisini na Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa alipokutana naye Nchni Marekani .ambako yupo huko kwa ajili ya kumuwakilisha Mama yetu Mpendwa katika mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa. lenye kauli mbiu ya kutokumuacha yeyote yule nyuma. Kushirikiana Pamoja kuendeleza Amani , maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Katibu Mkuu huyo Ameipongeza sana Tanzania kwa kupokea kwa miaka mingi wakimbizi kutoka Nchini Burundi na kuwahifadhi ,mpaka sasa ambapo nchi hiyo imetulia ,kuwa na amani na utulivu. Ameipongeza Tanzania kuendelea kutoa na kupeleka wanajeshi wake kulinda amani katika nchi mbalimbali ndani ya jumuia ya Afrika mashariki pamoja na SADC ,pamoja na kusaidia sana katika ukombozi wa nchi mbalimbali za Afrika kujipatia uhuru wake kutoka kwa wakoloni..

Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa amemueleza juu ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa mwishoni mwa mwaka huu pamoja na uchaguzi Mkuu hapo mwakani.

Waziri Mkuu hapo kesho atashiriki katika mkutano huo na kutoa salamu za serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Nahodha wetu makini na shujaa wetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja Mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye kugusa mioyo ya watuView attachment 3102431

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Harafu wahuni wachache wanataka kuvunja amani
 
Back
Top Bottom