Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Huyu nae anatuchelewesha bora aachie ngazi ili KAZI IENDELEEKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Yaani huyu mtu, alikuwa anaonekana ni adui mkubwa wa vyombo vya habari!Dr Abbas achana na mambo ya MEKO vyombo vya habari vilivyofungiwa vyote vifunguliwe ,mbona unakuwa kama Zero Brain?
Inaelekea hakumwela rais wetu.Dr Abbas achana na mambo ya MEKO vyombo vya habari vilivyofungiwa vyote vifunguliwe ,mbona unakuwa kama Zero Brain?
Abbas alikuwa ni kibaraka wa Magufuli hawezi kufurahia tangazo hili, amekuwa akinyanyasa sana vyombo vya habari hakujua kwamba huu muda ungeweza kuwadia na aliyekuwa akimsujudu kuitwa hayati.Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Fungua Tanzania Daima, Fungua MwanahalisiKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Abbas ana ujinga fulani sasa aendeleze atajikuta ameenda kuwa Afisa Mtendaji wa kata. Hapo Ina maana hakuelewa alichoambiwa kwamba aangalie wote waliofungiwa awafungulie kwa utaratibu, Ina maana kuna wanaostahili msamaha kama walishahukumiwa wafunguliwe na wapewe onyo na waambiwe kwa nini wamefunguliwa.Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Ana hamu ya kumwona mama mmbayaKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Ameambiwa afungulie vyote asilete ujuaji!Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Zingatia paragraph tukusome. Unatuumiza macho.Abbas ana ujinga fulani sasa aendeleze atajikuta ameenda kuwa Afisa Mtendaji wa kata. Hapo Ina maana hakuelewa alichoambiwa kwamba aangalie wote waliofungiwa awafungulie kwa utaratibu, Ina maana kuna wanaostahili msamaha kama walishahukumiwa wafunguliwe mlna wapewe onyo na waambiwe kwa nini wamefunguliwa. Wale ambao kesi zao bado zipo pending waziharakishe wamalize, Ina maana wanaweza kuweka program maalum ya utekelezaji wa hayo mashauri kwa kufast track hizo kesi pending. Hii haihitaji maelekezo zaidi. Tatizo la Hassan alijiweka kwenye usemaji wa serikali kushinda ukatibu hapo sasa kuna gap kubwa asipokuwa makini tutalima nae matikiti kule kwao. Au atarudi tupige jalamba mahakamani