Katibu mkuu wizara ya habari asema anasubiri maelekezo kufungulia magazeti

Katibu mkuu wizara ya habari asema anasubiri maelekezo kufungulia magazeti

Mtu mwenye kitambi kikubwa anakua amebeba mavi tumboni bila kujijua hata akili yake inakua ndogo, hiwezi beba furushi la mavi kwenye ule mtumbo akili ikawa sawasawa. Tena iangaliwe viongozi wenye vitambi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
 
Huyu katibu mkuu ni mpuuzi kabisa.
Hivi ana akili timamu kweli?
Mama kasema vyombo vilivyofungiwa vifunguliwe mara moja, akataja na mifano. Sasa wewe katibu mkuu hujiongezi tu?
Huoni mantiki ya mama ni nini?
Unataka uambiwe kila kitu?
Huyu daktari aone aibu.Hata mwanangu wa miaka 15 amemwelewa Mh.Rais.Fungulieni Vyombo vya Habari Kama vile TV za mitandaoni.Sasa Magazeti siyo vyombo vya habari?Tena President Samia kasahau kuwaambia wasimpambe kwenye Headlines.Naamini liko limempita.Pia namshauri anao Mawaziri,Wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi n.k Hawa awatumie kumfungulia miradi mbalimbali.Asiige ya Meko mpaka mashine ya kukamulia miwa kinaitwa kiwanda.Mialiko ya ufunguzi ya miradi mbali mbali awaachie hawa wasaidizi wake wamsaidie.Pia awe anahudhuria mikutano kama ya Davos,Uswisi inayohusu World economy,mkutano wa Umoja wa mataifa New York,Kutembelea nchi mbalimbali rafiki ili kuboresha uhusiano hasa wa kiuchumi,kuwaalika viongozi wenzie kutembelea nchi yetu wakiambatana na wafanyabiashara wao,kuunda tume za pamoja za ushirikiano na nchi mbalimbali duniani n.k
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Mku Abasi naona bado hajaelewa asome alama za nyakati kwa itaonekana unamvimbia Rais wetu Mpendwa
 
Huyu jamaa ni takataka kabisa ! Rubbish in rubbish pit , bado ana sumu kali ya jiwe kwenye damu, sijui itaflashiwa vipi imtoke ..ngoja asimamishwe kazi

Mh Samia inabidi aondoe wapiga PAMBIO wa meko maana watamkwamisha sana,bado wana wenge la matekelezo ya MEKO kwahiyo wakitengua wanaona kama wanamkosea MEKO.
 
Hivi ni mbegu au vifaranga?
Mbona watu hawaelewi
Shauri zako hapa unapewa ushauri tu we endelea kurefusha mabega
 
Alizoea kufanya kazi kwa maagizo kila hatua lazima aulize.
RAIS wetu atapata shida Sana huu ubongo umekomaa hakuna namna asaidiwe
 
Huyu hata msimshtue mbona week haiishi mama atamtoa na hivi anasoma maoni yetu humu mitandaon.
 
Back
Top Bottom