Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mkuu kasome nishaweka mambo freshZingatia paragraph tukusome. Unatuumiza macho.
Kila baada ya sentensi tatu, nne, paragraph ni muhimu.
Sijasoma chochote.
Nashangaa hivi ni wote tulienda shule, hata zile za msingi?Haya mkuu kasome nishaweka mambo fresh
Huyu daktari aone aibu.Hata mwanangu wa miaka 15 amemwelewa Mh.Rais.Fungulieni Vyombo vya Habari Kama vile TV za mitandaoni.Sasa Magazeti siyo vyombo vya habari?Tena President Samia kasahau kuwaambia wasimpambe kwenye Headlines.Naamini liko limempita.Pia namshauri anao Mawaziri,Wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi n.k Hawa awatumie kumfungulia miradi mbalimbali.Asiige ya Meko mpaka mashine ya kukamulia miwa kinaitwa kiwanda.Mialiko ya ufunguzi ya miradi mbali mbali awaachie hawa wasaidizi wake wamsaidie.Pia awe anahudhuria mikutano kama ya Davos,Uswisi inayohusu World economy,mkutano wa Umoja wa mataifa New York,Kutembelea nchi mbalimbali rafiki ili kuboresha uhusiano hasa wa kiuchumi,kuwaalika viongozi wenzie kutembelea nchi yetu wakiambatana na wafanyabiashara wao,kuunda tume za pamoja za ushirikiano na nchi mbalimbali duniani n.kHuyu katibu mkuu ni mpuuzi kabisa.
Hivi ana akili timamu kweli?
Mama kasema vyombo vilivyofungiwa vifunguliwe mara moja, akataja na mifano. Sasa wewe katibu mkuu hujiongezi tu?
Huoni mantiki ya mama ni nini?
Unataka uambiwe kila kitu?
Dr Abbas achana na mambo ya MEKO vyombo vya habari vilivyofungiwa vyote vifunguliwe ,mbona unakuwa kama Zero Brain?
Dr Abbas achana na mambo ya MEKO vyombo vya habari vilivyofungiwa vyote vifunguliwe ,mbona unakuwa kama Zero Brain?
Acha madharau basi so nimesharekebisha, naandika kwa kutumia simu so kuwa na uvumilivu pia acha madharauNashangaa hivi ni wote tulienda shule, hata zile za msingi?
Mku Abasi naona bado hajaelewa asome alama za nyakati kwa itaonekana unamvimbia Rais wetu MpendwaKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Huyu jamaa ni takataka kabisa ! Rubbish in rubbish pit , bado ana sumu kali ya jiwe kwenye damu, sijui itaflashiwa vipi imtoke ..ngoja asimamishwe kaziDr Abbas achana na mambo ya MEKO vyombo vya habari vilivyofungiwa vyote vifunguliwe ,mbona unakuwa kama Zero Brain?
Huyu jamaa ni takataka kabisa ! Rubbish in rubbish pit , bado ana sumu kali ya jiwe kwenye damu, sijui itaflashiwa vipi imtoke ..ngoja asimamishwe kazi
Hivi ni mbegu au vifaranga?
Mbona watu hawaelewi
Shauri zako hapa unapewa ushauri tu we endelea kurefusha mabega