Katibu mkuu wizara ya habari asema anasubiri maelekezo kufungulia magazeti

Katibu mkuu wizara ya habari asema anasubiri maelekezo kufungulia magazeti

Yaani anahitaji maagizo mara mbilimbili aisee, huyu ni tatizo kwa hiyo alihitaji Rais ataje orodha kabisa kafungue hiki na hiki na hiki ndiyo atekeleze. Huyu katibu amekosea hata akiliwa kichwa ni halali yake.
 
Zingatia paragraph tukusome. Unatuumiza macho.

Kila baada ya sentensi tatu, nne, paragraph ni muhimu.

Sijasoma chochote.
Huyu alikuwa anatumia simujanja kujibu uzi wa Jf.Tofauti na kutumia kompyuta ukitaka kuweka para inaenda kabla hujakamilisha ulichokusudia kuandika.
 
Yaani anahitaji maagizo mara mbilimbili aisee, huyu ni tatizo kwa hiyo alihitaji Rais ataje orodha kabisa kafungue hiki na hiki na hiki ndiyo atekeleze. Huyu katibu amekosea hata akiliwa kichwa ni halali yake.
Mungu hamfichi mnafiki..Mungu anawaumbua tu kabla mama hajafika mbali
 
Huyu mh rais ungemtolea mfano kwa kutengua ukatibu wake. Hiyo Ni dharau kujifanya hajui ulichongelea. Yeye kwake magazeti siyo vyombo vya habari. Huyu bado Yuko kwenye blanketi la mzee meko.
 
Mafuru akiwa msajili wa hazina alisema tu kiwango cha mishahara ya CEOs haikuwa kikubwa sana, baada ya Mafuru kusema hivyo akapigwa chini, japo niliona hakutendewa haki. Sasa huyu Dr. Abassi si ndio anapinga kabisa agizo. Na rais kaitaja wizara yake ingawa hakutaja wizara ya mawasiliano ambayo ndio inasimamia online TV lakini agizo ni kwa vyombo vyote vya habari vifunguliwe.
 
Huyu kesho asubuhI nategemea kuona press release ya ikulu kuwa ametenguliwa nafasi yake.

Hawa na masalia ya magufuli walioapa kuhakikisha taswira Nzuri ya mama yetu inachafuka. Atolewe mapema kabisa!
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
i
 
Ana kichwa kigumu huyu yaaani kila mtu amemuelewa maza isipokuwa yeye!
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Kipo anachokitafuta atakipata
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Huyu nae kapitwa na wakati
 
Dr Abbass, huku ni kukaidi na kuspin kauli ya Rais ili kujikosha binafsi kwa makosa uliyoyafanya kwenye utawala uliopita.

Rais alikuwa clear on point kwa kusema "vyombo vya habari" siyo online TV peke yake!

Watu kama hawa mama Samia inabidi awaweke pembeni maana wameanza kuonyesha rangi zao za kiburi, ujeuri na ukaidi wa mamlaka
 
Maelekezo gani wakat umeshaambiwa na Rais?
 
Alichokifanya Dr Abbas ni kutaka kumharibia mama siku yake baada ya speech yake kufurahiwa na kupokewa na Watanzania kwa furaha na uungwaji mkono mkubwa

Huku ni kama vile kuhujumu raisi
 
Ndy mana mi Kumwita mtu Dr au Prof ni kazi sana ..mimi kipimo cha usomi wa mtu ni hekina na busara kwenye maamuzi .hiv huyu kunamafile ya udokta kichwani
 
Back
Top Bottom