Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Mnanivunja mbavu.Hayo mabega lazima tuyashushe kwa nyundo
Mkumbusheni kua magu hayupo, hivyo awe huruKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
PoaHaya mkuu kasome nishaweka mambo fresh
Ask him kama Magufuli angekuwa amesema haya angethubutu kusubiri barua? Angekwenda extra mile to please him. This is being disrespectful to Mama and he needs to carefully consider his position .
Huyu ni nani?Huyu anatafuta maneno kwa mama...
Samahani.Acha madharau basi so nimesharekebisha, naandika kwa kutumia simu so kuwa na uvumilivu pia acha madharau
Sawa, uko sawa, wote tunakosea mara nyingi tu, sio issue.Huyu alikuwa anatumia simujanja kujibu uzi wa Jf.Tofauti na kutumia kompyuta ukitaka kuweka para inaenda kabla hujakamilisha ulichokusudia kuandika.
Sasa mkuu, hiyo ni ngumu, 60m people kila kuridhika ni vigumu. Tumpe muda miaka miwili, mitanoMama anajihujumu mwenyewe huko kwenda extra maili ndio kakuita maguvu na nini tena vile. .. mabavu. Self infliction distruction. Achunge sana kauli zake zitamwinda.
Sishangai JPM kusema alimtaka Hussein Mwinyi.
Kwa kauli za hizi hotuba zake mbili tatu baada ya kuwa Rais nina kuhakishia wako wa saidizi wake wa meshaona they have nothing to loose hata akiwatumbua. Eti ulitupwa huko Mwanza as if Mwanza si Tanzania.
Mtu mwenye kitambi kikubwa anakua amebeba mavi tumboni bila kujijua hata akili yake inakua ndogo, hiwezi beba furushi la mavi kwenye ule mtumbo akili ikawa sawasawa. Tena iangaliwe viongozi wenye vitambi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
Washaanza kumfanyia figisu mama. Enzi za JPM wala asinvesubutu kusema hivyo. Mama asipoangalia, Hawa Jamaa watamjaribu kwanza!!Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. https://t.co/fdXzgvlz3l
Huyu ni wa kusomewa dua mbaya tu afwaliki hatutakagi ujingaYaani huyu mtu, alikuwa anaonekana ni adui mkubwa wa vyombo vya habari!