Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Labda aliambiwa aandike barua,hivi kweli mswahili anawezajiuzuru kweli? Yaani kutoka mezani kwa hiari kweliMeja General amepewa heshima kwa kutosemwa hadharani ametumbuliwa ila 'ameandika barua ya kujiuzulu' ila yule wa kule zimamoto sasa chap chap mchezo umeisha.
Kweli JW wanaheshimika.
dodge
Kuna uwezekano kabisa aliambiwa aandike hio barua yaani anatumbuliwa kwa staha tofauti kabisaaa na watu wengine mkuu.Labda aliambiwa aandike barua,hivi kweli mswahili anawezajiuzuru kweli? Yaani kutoka mezani kwa hiari kweli
Si unaona wale Wa dhahabu mwanza walivosamehewa kwa staha inaonekana kama iliwachoma wenzao wanaowasaidia goli la mkonoKuna uwezekano kabisa aliambiwa aandike hio barua yaani anatumbuliwa kwa staha tofauti kabisaaa na watu wengine mkuu.
Yaani huwezi kusikia neno Major General atumbuliwa,NEVER
dodge
Aisee umenikumbusha wale jamaa wa dhahabu mkuu,hahah.Si unaona wale Wa dhahabu mwanza walivosamehewa kwa staha inaonekana kama iliwachoma wenzao wanaowasaidia goli la mkono
Simbachawene atakuwaHaya jamani,nani unaona atafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani?
johnthebaptist, Watu washakimbilia kwa Sangoma muda huu,wasiwasi wakukosa kiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kausha basi.
Watu wanaishi kwa matukio hapa tena mengine ya kutengenezewa wanarushiwa wahangaike nayo. Hawana huo uwezo kuacha kurukia tukio jipya kama nyani na matawi ya mti.
Du pole zake Kange Lugola. Sasa tuone yale mauno aliyokuwa anakata huku akibariki mauaji ya raia wasiokuwa na hatia atayafanyia wapi. Go to hell Lugola & Co.Rais John Magufuli amesema Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye hawafai kuwa katika nyadhifa hizo #MwananchiUpdates
Yajayo yanafurahisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu Nyerere alibeba watu wake sana, kama ulikuwa wake alikuruka na kutumbua wengine, ila Magufuli ni noma aisee, Duh!
Wewe nawe,mimi nakutaka wewe hapo mzee mwenzangu.Haya umepata kijana uanze kujishebedua uone kama hujadoda.
Jeneralisi kama afande Lugola !Rais anawaogopa majenerali wa majeshi jwtz mbona huyo katibu mkuu kamtumbua kwa unyenyekevu?
atashindwa kufanya kazi kwa ufanisiSasa si wampe yeye hiyo nafasi...?
Wewe nawe,mimi nakutaka wewe hapo mzee mwenzangu.
Inaitwa gusa unate!Rais anawaogopa majenerali wa majeshi jwtz mbona huyo katibu mkuu kamtumbua kwa unyenyekevu?
Rais anawaogopa majenerali wa majeshi jwtz mbona huyo katibu mkuu kamtumbua kwa unyenyekevu?
Haya jamani,nani unaona atafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani?